Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Nitumie Namba zake
 
Hahahahahaa eti thank you thanks you kweli tuko wengiii aiseee mimi nili jisahau nika mpa mate pale anapokaribia nilijuta maana sio kwa ku ng'atwa kule mpaka damu na alama za meno nikaja nika mwambia akakataaa
 
Pisi kali kitandani inalala tuuh ,pisi mbovu kitandani inamwaga uno hatar
 
Duh aisee
 
Sasa hapo kuwa spender sio ishu
 
Kivipi , elezea kidogo ndugu
Hili tatizo mimi niliwahi kuwa nalo, na unakuta hujui kama unanuka kinywa, sijajua na wengine
katika pitapita zangu Kuna jarida lilidokeza tangawizi inasaidia tatizo hilo
Nikawa natafuna kipande kimoja mchana , baada ya wiki ilikuja harufu nzito naiskia puani mpaka nashangaa kumbe ilikuwa ndo inatoka jumla

Kuna baadhi ya matatizo inabidi tujifunze kuyatatua ya wenza wetu kukimbiana siyo suluhisho
 

Akakuambia ukweli halafu wewe ukamwacha badala umsaidie?
Roho gani hii Champagnee 😎
 
Nilipata demu wa kawaida ila alikuwa na rangi tamu nyeupe usoni miguuni na mikononi,akivua nguo ni mweusi balaa kumbe alikuwa anajichubua kwa ustadi mkubwa ule mchanganyiko wa rangi ulinipunguzia munkari.Balaa zaidi ni ugonjwa alikuwa ana uti kali na PID niligharamika sana kwenye matibabu yake lakini alikuwa haponi,nikaja kugundua kuna msela alikuwa anamla kabla hata sijampata na alikuwa anaendelea kumla nikiwa nae kifupi demu alikuwa bitch jumlisha magonjwa hayo hayaponi kwa sababu ya ujinga wake nikapiga chini aliniganda sana nikamchana ukweli akakiri kuwa kuna uwezekano magonjwa anayapata kwa yule mshikaji akaniomba sana nimsamehe hatarudia nikapiga chini niliona heri niwe makini na afya yangu nashukuru hakuleta ngoma maana nilipima mara mbili.
 

PIGA CHINI, dem akiwa malaya ndo bhs tena
 
Dah...
Mi mwenyewe nlipata Piss moja matata sana Arusha.
Bhanaa Dem alikuwa na sura nzuri macho panzi.
Dimpoz alizo pewa na mama ake nomaa...
Nlikuwa na mla jamani kale katoto kwakweli mbususu yake taam na ima mvuto yaan hata ukiwa una mbato unaiskia kabisaa inavyo kutekenyaa na kukusuguaa


Shida bhanaa msumbufu maswali mengi mfuatiliaji na anajua kususaa balaaa dah.
Kwa utaam wake sikuweza kumuacha nikawa na mvumilia tuu huku naendelea kula tunda lake taam.

Sema nlipopata lidandas tuu Job na yeye nikapatiapo sababu nikapiga chiniii

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…