Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Eebana mimi nakumbuka niliwahi date na pisi moja kitaa flani enzi hzo niko moshi, Hio pisi ilikua ni kifaa kitaa kizima maana watu walikua wanainyali kuisemesha kama mnavyojua dem akiwa pisi ya maana hata kuisemesha unaona jau.

Basi mdau bila hiana nikajichomoa akili nikasema nae nikajielezeq hisia zangu nilizokuanazo juu ya urembo wake japo kua haikua rahisi lakini nilijikaza kisabuni, dem akachomoa kama mara kadhaa lkni mwishoni akakubali Coz nilipambana sana afu badae dem nae akawa kanipenda kupindukia na nilienjoi sana lakini kasoro aliyokua nayo huyu kigori wangu ilikua ni RAFUDHI

Yani Rafudhi yake ilikua kile kichaga cha ndani ndani kabisa yani akiongea lazma watu waanze kushangaa mpaka nikawa naona jau kutembea nae kwa masela zangu Coz wangekua wanancheka sana, Lakini finally nilizoea tu nikajikubali kwamba ndo hyo Mungu amenipa wacha nilinge nae hvo hvo. Basi nikaanza kutamba kitaa na rafudh yetu [emoji23][emoji23]

Mpaka leo niko nae na nnatarajia kufunga nae Pingu za maisha Coz nimke bora kwangu Mungu kanipatia tunapendana sana RAFUDHI YETU NDO IMEKUA TRADEMARK YA PENZI LETU. [emoji23][emoji23]
 
Eebana mimi nakumbuka niliwahi date na pisi moja kitaa flani enzi hzo niko moshi, Hio pisi ilikua ni kifaa kitaa kizima maana watu walikua wanainyali kuisemesha kama mnavyojua dem akiwa pisi ya maana hata kuisemesha unaona jau.
Hongeraa sanaa kakaaa
 
Huu ndio upumbavu ambao siutak demu ana matako makubwa afu kumtomba alale chali hamna kwan yy hajui km ulimpendea ayo matako ungekomaa nae tu uyo ukiwakazia huwa wanageuka na huwa wanafanya makusud
Aiseeee! Unataka kumpeleka kwa Mpalange nini?
 
Ngoja niweke kambi hapa nicheke kidogo sio kwahili jua [emoji144][emoji144]
 
Nili date na pisi Fulani miaka ya nyuma Kali kishenzi ilikuw imemaliza form four huko Kenya
Ipo njema sana black beauty Fulani hiv na inae dread original za kwake

Shida yake sasa anavuta fage hatar yan per day anakula embassy hata packet moja

Ukila denda ni harufu tu ya ma fage

Nkaona isiwe case kwan nin nkapiga chini
 
Kwanini haukumsaidia kutatua tatizo lake? Mapenzi ya kweli ni kutatua / kutibia mapungufu ya mwenzio na sio kumuacha.
Mkitibiwa tatizo mnamuona aliewasaidia ni Fala Juha Bin Hayawani...

Jirani yangu mmoja alimtibia demu wake. Alipopona akaja kumfamania na mlinzi wa getini.. Demu aliomba samahani eti shetani alimpitia... Akala kibuti mazima mpaka leo,
 
Swadaktaaa?

Back, nikiwa 3rd year nilishwai miliki chombo kali sana aisee huyu dada alikuwa ni pisi kali sana, moja ya pisi nilizotoka nazo anaingia top3. Alikuwa ni mzuri balaa. Ni pisi ambayo ikikatiza lazma ugeuke uitizame.

Tatizo la huyu dada ilikuw ni kujikojolea usiku hii ndo kasoro aliyokuwa nayo pamoja na uzuri wote. Siku niliyokuja fahamu ana hili tatizo ni siku ambayo tulitoka out night ikabd tulale lodge, nilishuhudia live demu akikojoa mpaka nikahisi maybe nilimkuna sana kumbe ndo tatizo lake. Ndio kunambia ukweli wa tatizo lake.

Hatukudumu sana tuliachana, sijui kama alipona au bado.
Kwa mtu unaempenda sio ishu kabisa hii.
 
Eebana mimi nakumbuka niliwahi date na pisi moja kitaa flani enzi hzo niko moshi, Hio pisi ilikua ni kifaa kitaa kizima maana watu walikua wanainyali kuisemesha kama mnavyojua dem akiwa pisi ya maana hata kuisemesha unaona jau.

Basi mdau bila hiana nikajichomoa akili nikasema nae nikajielezeq hisia zangu nilizokuanazo juu ya urembo wake japo kua haikua rahisi lakini nilijikaza kisabuni, dem akachomoa kama mara kadhaa lkni mwishoni akakubali Coz nilipambana sana afu badae dem nae akawa kanipenda kupindukia na nilienjoi sana lakini kasoro aliyokua nayo huyu kigori wangu ilikua ni RAFUDHI

Yani Rafudhi yake ilikua kile kichaga cha ndani ndani kabisa yani akiongea lazma watu waanze kushangaa mpaka nikawa naona jau kutembea nae kwa masela zangu Coz wangekua wanancheka sana, Lakini finally nilizoea tu nikajikubali kwamba ndo hyo Mungu amenipa wacha nilinge nae hvo hvo. Basi nikaanza kutamba kitaa na rafudh yetu [emoji23][emoji23]

Mpaka leo niko nae na nnatarajia kufunga nae Pingu za maisha Coz nimke bora kwangu Mungu kanipatia tunapendana sana RAFUDHI YETU NDO IMEKUA TRADEMARK YA PENZI LETU. [emoji23][emoji23]
Kongole kwako mzee.. kwanza lafudhi sio ishu kabisa kabisa.
 
Nicheke kidogo.
1. Wivu uliopitiliza ndo sijui kunipenda zaidi
2. Gubu kisa kidogo misuse siku mbili ya 3 anakuambia wakati nimekuchunia nilikuwa nalia na najua ndo umeniacha mazima,
3. Msimamo usiokuwa na akili( kujikosha kujikosha sana, anasusa hataki kula kumbe njaa inamuuma)
4. Show kidogo akichoka anaanza kusema nimemkamia, analalamika mapaja yangu yamekaza sijui msuli, sijui inabidi nipungue hahahaha. Inabidi nianze kukikanda kukifanyia massage,
5. Mwoga wa pikipik sana na kuvuka Road, muda mwingine anasema tafuta upande sio wa kuvuka Road au nifate.
6. Hatumii cold drinks yani akipga chafya na tonses,

All in all namuelewa huu udhaifu wake najiona kama nipo telemundo
 
Nicheke kidogo.
1. Wivu uliopitiliza ndo sijui kunipenda zaidi
2. Gubu kisa kidogo misuse siku mbili ya 3 anakuambia wakati nimekuchunia nilikuwa nalia na najua ndo umeniacha mazima,
3. Msimamo usiokuwa na akili( kujikosha kujikosha sana, anasusa hataki kula kumbe njaa inamuuma)
4. Show kidogo akichoka anaanza kusema nimemkamia, analalamika mapaja yangu yamekaza sijui msuli, sijui inabidi nipungue hahahaha. Inabidi nianze kukikanda kukifanyia massage,
5. Mwoga wa pikipik sana na kuvuka Road, muda mwingine anasema tafuta upande sio wa kuvuka Road au nifate.
6. Hatumii cold drinks yani akipga chafya na tonses,

All in all namuelewa huu udhaifu wake najiona kama nipo telemundo
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nicheke kidogo.
1. Wivu uliopitiliza ndo sijui kunipenda zaidi
2. Gubu kisa kidogo misuse siku mbili ya 3 anakuambia wakati nimekuchunia nilikuwa nalia na najua ndo umeniacha mazima,
3. Msimamo usiokuwa na akili( kujikosha kujikosha sana, anasusa hataki kula kumbe njaa inamuuma)
4. Show kidogo akichoka anaanza kusema nimemkamia, analalamika mapaja yangu yamekaza sijui msuli, sijui inabidi nipungue hahahaha. Inabidi nianze kukikanda kukifanyia massage,
5. Mwoga wa pikipik sana na kuvuka Road, muda mwingine anasema tafuta upande sio wa kuvuka Road au nifate.
6. Hatumii cold drinks yani akipga chafya na tonses,

All in all namuelewa huu udhaifu wake najiona kama nipo telemundo

huyu anaonekana anapenda kudeka Mkuu
 
Pisi kali ya kinyakyusa nilikuwa naish nayo tatzo lake ni ubabe yanii mbabe huyo kinmaaa af giant kuna siku almanusura nivunjwe mbavu nikaona isiwe shida ngoja niwaachie akina boyka waish nae[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pisi ingine kali nlibahatishaga sema kero yake anapenda Style moja tuu ndo awe anakojolewa nayoo.

Yaani bila kumuweka style hiyo hatoridhika mpaka umuweke hiyo style ya kumpizia.
 
Back
Top Bottom