Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,789
Ulimuacha kwa sababu ya kujikojolea tu au kuna sababu nyingine?Swadaktaaa?
Back, nikiwa 3rd year nilishwai miliki chombo kali sana aisee huyu dada alikuwa ni pisi kali sana, moja ya pisi nilizotoka nazo anaingia top3. Alikuwa ni mzuri balaa. Ni pisi ambayo ikikatiza lazma ugeuke uitizame.
Tatizo la huyu dada ilikuw ni kujikojolea usiku hii ndo kasoro aliyokuwa nayo pamoja na uzuri wote. Siku niliyokuja fahamu ana hili tatizo ni siku ambayo tulitoka out night ikabd tulale lodge, nilishuhudia live demu akikojoa mpaka nikahisi maybe nilimkuna sana kumbe ndo tatizo lake. Ndio kunambia ukweli wa tatizo lake.
Hatukudumu sana tuliachana, sijui kama alipona au bado.
Nilipata pisi kali moja jeupe kama RAHA P tatizo kwenye tako moja limechora jina la bwana ake wa zamani so during dog style session nikiona ile TATOO mzuka unakata mpaka dusherere linaishiwa nguvu.
Ulimuacha kwa sababu ya kujikojolea tu au kuna sababu nyingine?
Sasa tattoo yake inakuhusu nin mkuu? We kula mbususu then pita hivi.Nilipata pisi kali moja jeupe kama RAHA P tatizo kwenye tako moja limechora jina la bwana ake wa zamani so during dog style session nikiona ile TATOO mzuka unakata mpaka dusherere linaishiwa nguvu.
Hata mimi juzi kati nililetewa pisi kali ofisini bwana,sasa kwenye rafudhi mzeee yaani ni kiswahili-sukuma kiukweli inahuzunisha afu unamuuliza ni wa wapi anakwambia wa morogoro!Eebana mimi nakumbuka niliwahi date na pisi moja kitaa flani enzi hzo niko moshi, Hio pisi ilikua ni kifaa kitaa kizima maana watu walikua wanainyali kuisemesha kama mnavyojua dem akiwa pisi ya maana hata kuisemesha unaona jau.
Basi mdau bila hiana nikajichomoa akili nikasema nae nikajielezeq hisia zangu nilizokuanazo juu ya urembo wake japo kua haikua rahisi lakini nilijikaza
Hiyo sio ushu sana, dawa zipo nyingi tu anapona kabisaSwadaktaaa?
Back, nikiwa 3rd year nilishwai miliki chombo kali sana aisee huyu dada alikuwa ni pisi kali sana, moja ya pisi nilizotoka nazo anaingia top3. Alikuwa ni mzuri balaa. Ni pisi ambayo ikikatiza lazma ugeuke uitizame.
Tatizo la huyu dada ilikuw ni kujikojolea usiku hii ndo kasoro aliyokuwa nayo pamoja na uzuri wote. Siku niliyokuja fahamu ana hili tatizo ni siku ambayo tulitoka out night ikabd tulale lodge, nilishuhudia live demu akikojoa mpaka nikahisi maybe nilimkuna sana kumbe ndo tatizo lake. Ndio kunambia ukweli wa tatizo lake.
Hatukudumu sana tuliachana, sijui kama alipona au bado.
Hapo sawa umeelewekaTuliachana kwa mambo mengine
Unachoma nyasi tu ( R.I.P Ngwea), mashetani yanasanda yenyewe!!Uchawi huwa hauendi kwa mentali!.. 😜
[emoji38][emoji38][emoji38]Jana nmekula pis kali mweupe hv mtoto wa kikurya yan mrembo hamna mwanaume atashindwa kumwangalia lkn dah aisee yn nilijikuta ninakibamia sio kwa hole ile yn dah natafuta hta kuta sizipat
jina linanikata maini naona kama mwamba alipendwa sana kuliko mimi?Sasa tattoo yake inakuhusu nin mkuu? We kula mbususu then pita hivi.
Yes mkuu... tena isingekuwa ubabe kidogo angedeka zaidi.huyu anaonekana anapenda kudeka Mkuu
Hahaha. Hawa ndo wanawake mtoto akimsumbua sana analia.Na daw yake mkojolee apate mimba tu madeko yote kwisha
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kutaa huzioni kabisaaJana nmekula pis kali mweupe hv mtoto wa kikurya yan mrembo hamna mwanaume atashindwa kumwangalia lkn dah aisee yn nilijikuta ninakibamia sio kwa hole ile yn dah natafuta hta kuta sizipat
[emoji44]Usiombe ukutane na demu nje mkaliiii hlf kumbe sio msafi (mchafu) utajutraaa kuzaliwa, hawavumiliki.
Kuna siku nilikuwa nachat na dem lesbo (Wale madem wanaokula madem wenzao) alinishangaza sana yy anadai hakuna kitu kinachomkera kama dem mchafu.
Yes mkuu... tena isingekuwa ubabe kidogo angedeka zaidi.
Mkuu anadeka!
Kama deko apunguze aweke uhalisia,
Unaogopaje kuvuka Road, unakuwa mwoga wa barabara wakati umeambiwa maisha ni safari?