PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole jembe.Huyu mwingine hapo 2018 nikamuangukia nikawa namhudumia na nilimhudumia almost ka semister nzima hivi kmmk siku hiyo anakuja kunambia U don Deserve Me, nikajiuliza mimi huyu wanijibu hivyo!?
Aliogopa vitisho vyako vya kitandaniYani mi mwenyewe nikikumbuka mwili wote unapata ganzi
Mkuu una ujasili kwenda kudai vitu kwa demu ambacho ulishampa mimi nilishindwa kabisa nikapotezea.mimi kuna mmoja nilimuulewa sana, nikawa nataka niende kujitambulisha kwao maana alinambia hana mtu, basi nikaona nisiharakishe kuomba mzigo, nikamnunulia ki smart phone baadae nakuja pata taarifa kumbe ana jamaa mwengine ambae kashajitambulisha kwao, harafu nimemnunulia simu kama siku mbili zilizopita,nikamfuata kiustaarabu anipe simu yangu aendelee na jamaa yake, heeh demu kanigeuzia kibao eti sijawahi kumpa simu na wala hanijui mbele ya mama yake mdogo, bahati nzuri kuna madogo zake wananielewa sana wakanitonya kuwa simu anayo kaificha chini ya godoro, hapo jirani kuna jamaa yangu ni askari polisi nikamchek nikamuelezea story nzima, akanambia hiyo kazi ndogo, alimbana demu kuwa huo ni utapeli kama na kama akiingia ndani kui tafuta na akiipata basi atamtia pingu, demu mwenye akazama ndani akaitoa,
K vant yangu atairudisha tu!!! Tena ilikua kubwa aaah sikubaliAliogopa vitisho vyako vya kitandani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Pole mkuu.Nilikuwa na dem mmoja mume wake alikuwa masomoni siku nimemuhonga tu laki 2, mume wake anarudi , na baada ya wiki wakahamia mkoa mwingine. Iliniuma sana. Arafa rudisha ela zangu mbwa wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nataabika hapa, roughly nishapigwa si chini ya laki tatu na sioni daii, siku mkisikia mtanzania kabaka mjue ndo mimi, ***** zake huyu miss
Daah umeandika kwa uchungu sana😂😂Mi nlikitongoza kipogoro flani ivi kikaanza mizinga mara nikipe hela ya mchezo kudadeki nikavumilia ipo siku kikalia kina nyege buana kikaja gheto kikaanza sababu mara niko period nikamla ivo ivo na vile alikua ashakula vipesa ivi kiasi nkaicharaza papuchi kinoma nkakuta ata hayuko period mshenzi yule na mimi kumkomoa nkampa nauli 2k arudi kwao alilaani mbaya mbovu akaja akanila kizinga cha 5k kwamba nimtumie aje na hawezi zingua maana nshamtyomba kumbe fiksi Maniner zake huyu fala
Huenda ni kibamia au hanithi.Yani mi mwenyewe nikikumbuka mwili wote unapata ganzi
Eeh bwana eeeh hii ndo yenyeweKuna kimoja enzi za JK alikula dola 200 yangu then akani block kila sehem, fb, kwenye cm n.k...
kikaolewa then hama hama ya JPM mumewe akamishwa Dom, akapata demu mwingine yy akawa km kaachika.
Kikanitafuta, nikasema wacha nimskilizie, km kawa vibomu vikaendelea alipoishia. Nikasema huyu this time around nitamyoosha. Nikawa namtumia huku namualika Gheto, siku ya kwanza kuja nikumuacha 2nd time nikambananisha nikakichezea sana kikalainika sana kikawa kinalia kinataka nikipe mtarimbo, nikasema muda wa kumuonesha huyu umefika...nikatumbukiza mashine mara moja tu then nikaitoa nikamwambia avae tu i dont fill like doing it..From there kikawa km kimepata mfadhaiko kinajiuliza maswali mengi yasio na majibu...kikikitext nakipotezea, kikitaka kuja Gheto nakipiga chenga, kikinipiga kibom ht cha 10k sijibu, hiki sija kiblock nakinyoosha taratibu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sponsor ulikua sahihi kabisa tena afadhali unamoyo chuma wepesi wangefanya mambo sioNimelipia kodi ya miezi sita Tsh 150@month , baada ya kuhamia second day nakuta kidume mwenzangu na hapo sijakula hata mzigo.
Maana niliambiwa hataki kwenda lodge hivyo anataka uhuru na yeye anaishi kwa wazazi wake akashauri nimtafutie nyumba simple tu ya kuishi yeye.
Ila nilipiga moyo konde nilisepa bila kuleta madhara kwa kidume yule wala kijike kile . baada ya Kodi kuisha alirudi tena kwa wazazi wake.
Ila Jacky Mungu anakuona.
Sponsor nilikata huduma .
Sijui kwa nini Mungu hakunijalia moyo wa kuhongaWanaume wenzangu hivi Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia ata papuchi?
Na kwa mademu je ulishawahi kuhongwa bila kutoa Papuchi?
Binafsi tayari na sio mara moja ila now ukiniomba hela lazima nikupe location ya kuja kuchukua haichezi mbali na gheto au gest kanuni yangu huwa situmi hela kwenye simu kama sijawahi kukulamba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....... ahsante kwa kunywa k vant yangu na kuingia mitini, jua tu hela ya mwanamke hailiwi.
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]harakati za pimbiHarakati za pimbi tupo wengi....
Muulize.MARIJANI RAJABUSidhani kama kuna mwanaume ambae hajawahi kuhonga na akaachwa solemba.
Leta mrejesho..Kuna mmoja nilimuibukia akanambia Jumamosi ndio ana muda. Juzi kaniomba nimkopeshe nikamwambia sina hela nitaipata Ijumaa jioni, kopa kwa mtu nitakupa tukionana.
Nia yangu endapo akiniomba Ijumaa jioni nisijibu mpaka usiku. Ukifika usiku nimwambie niko nje ya mji kuchukua pesa na mzigo hivo hakuna M-Pesa. Kesho tukionana nitampa ×2 yake. Akizingua ni win-win situation.
Naenda kutana nae mchana. Ila odds za kula ni 1:4 [emoji26]Leta mrejesho..
Unaenda kukutana naye wapi sasa badala ya yeye kukufwata kwako au eneo unalojua itakuwa comfort zone kwako?Naenda kutana nae mchana. Ila odds za kula ni 1:4 [emoji26]