Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Si naenda kumpokea akija. Yeye ananifata sio mimi namfata ila analeta masuala ya kuwahi. Niongezee mbinu ikibidi[emoji23]
Hapo hakuna mbinu nyingine zaidi ya kujifanya kama unatania kumbe una maanisha..usimwonyeshe tu kuwa ili umpe pesa ni lazima umgegede.

Wewe anza tu uchokozi.
 
Hapo hakuna mbinu nyingine zaidi ya kujifanya kama unatania kumbe una maanisha..usimwonyeshe tu kuwa ili umpe pesa ni lazima umgegede.

Wewe anza tu uchokozi.
Tamaa zangu za haraka ila alipanga kunipa wiki ijayo hii ya leo naforce. Ila sijawahi mpa hela yoyote aliyoomba labda vocha na luku
 
𝐍𝐢𝐥𝐢𝐰𝐚𝐡𝐢, 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐬𝐢𝐨 𝐛𝐚𝐝𝐨 𝐧𝐚𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐚 𝐤𝐮𝐡𝐨𝐧𝐠𝐚 𝐦𝐮𝐝𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐦𝐰𝐢𝐧𝐠𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐰𝐚-𝐟𝐮𝐥𝐚𝐧𝐢, 𝐥𝐚𝐤𝐢𝐧𝐢 𝐧𝐝𝐨 𝐡𝐢𝐯𝐲𝐨 𝐭𝐞𝐧𝐚

𝐖𝐊=0
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]aisee
 
Nmeichukua hii kwa matumizi ya badae
 
Baharia ulikua na hasira ya kuzungushwa ukamharbia mwenzio sphincters
 
Hapo hakuna mbinu nyingine zaidi ya kujifanya kama unatania kumbe una maanisha..usimwonyeshe tu kuwa ili umpe pesa ni lazima umgegede.

Wewe anza tu uchokozi.
Mrejesho nimeona ndani. Manzi mwenyewe ananielewa afu nimekuja gundua mzuri zaidi ya nilivyomchukulia. Hapa alitoroka kazini, Jtatu ana off tunaruka siku nzima.
 
Huyo alikuwa tayari watu walisha fumua marinda hayo.
 
Safi.

Umegegeda au umeona ndani kwa kula kwa macho?...ujue hili swala nalifuatilia kwa karibu.

Hela utampa kwahiyo?
Nimegegeda. Hela hajataka sahivi amesema ametoroka tu, kwanza mvua ilinyesha leo tulienda kupata lunch mahala afu tukazama ndani. Hela aliyotumia ni msosi (hatuko walevi), nauli na vizawadi nilivompatia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…