Ulishawahi kuingia msalani/chooni kujisaidia na simu yako mkononi.?

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Vile nafikiria zipu ilivyokuwa inafunguka....

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usinicheke basi
 
Kwa stahili hii wanaume tunaenda kuwa kuni jehanamu yaani mwanamke kuzungumzia zipu tu watu wanaanza kuimagine ilikuwaje kuwaje na story ikahama kabisa,
 
Kama ulidhamiria kumtongoza
Andika umeumia

joanah next time ui set simu yako kwa kile tunakiita google drive kwa ajili ya kuweka majina na matakataka yote kule ili siku wahuni wakiibeba usihuzunike kupoteza namba just restore na maisha yanasonga
 
Kama ulidhamiria kumtongoza
Andika umeumia

joanah next time ui set simu yako kwa kile tunakiita google drive kwa ajili ya kuweka majina na matakataka yote kule ili siku wahuni wakiibeba usihuzunike kupoteza namba just restore na maisha yanasonga

Nimekuelewa sana
 
Yaaan uzi umekuwa wa kumuandama Joannah na zipu yake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…