Ulishawahi kuingia msalani/chooni kujisaidia na simu yako mkononi.?

Nilishawahi kuingia na simu chooni huku naongea,asa ile nimeibana hapa hivi katika bega ili nifungue zipu ikanitoka ikaingia direct chooni
Cku hizi sket zina zipu![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Yeah!
Nilijua simu itakuwa imeharibika...nilitaka nipate lines zangu tu

So nikavaa mfuko zile rambo nikaingiza mkono [emoji16]
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji31][emoji31][emoji31]
 
kuingia na cm choon kunaondoa stress
 
Kila siku mpaka,kwenye kuoga huwa nazama nayooo
 
Hata sasa mimi nipo 'Natita' lakini nafuatilia ya JF
 
mara nyingi ukiingia na cm choon lzm uptlize muda km dkk 30 hv
 
Kwahiyo huo mkono ulioshika tuzi yako na mavi ndo ukashika simu
 
Nilishawahi kuingia na simu chooni huku naongea,asa ile nimeibana hapa hivi katika bega ili nifungue zipu ikanitoka ikaingia direct chooni
Ndiyo maana rafiki kipindi kile ulipotea JF kwa muda![emoji16][emoji16][emoji16]
 
Yeah!
Nilijua simu itakuwa imeharibika...nilitaka nipate lines zangu tu

So nikavaa mfuko zile rambo nikaingiza mkono [emoji16]
[emoji23][emoji23]ulicheza na mavi



Za hasubui lakini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…