Good-bye
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,085
- 1,812
Asante sanaHaijalishi. Wewe ingia kwenye mapenzi. Hayo waachie walimwengu. Ridhisha moyo wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sanaHaijalishi. Wewe ingia kwenye mapenzi. Hayo waachie walimwengu. Ridhisha moyo wako.
It's like ushawahi sema una familia tayari kama nakumbuka vyema1.
12.
Dah inanichinja [emoji22]
Hapana Nasma _ wapi uko nilisema au umechanganya rafk anguIt's like ushawahi sema una familia tayari kama nakumbuka vyema
Asante sana.Pole ndugu yangu
Mkuu si umeoa wewe?🤔No 1 na 3 kuna mtu ananipa changamoto sana Aisee.
No matter my friend!Mkuu si umeoa wewe?[emoji848]
Ebran: 13:4No matter my friend!
WATU LETENI VISA TUJIFUNZEWasalaam keyboard warriors..
Kuna ile hali unajikuta unampenda sana mtu pasipo yeye kujua au pengine anajua ila unajizuia kumwambia ili muingie kwenye mahusiano au kufanya nae mapenzi kutokana na sababu ambazo zipo nje ya uwezo wako kuepuka madhara yatakayo jitokeza baada ya hayo mahusiano mfano:
1.Umri
2.Ana vijitabia usivovipenda kama vile ulevi, umalaya au wizi
3.Haingiliki kirahisi
4.Uchumi
5.Ni muathirika
6.Mna undugu wa karibu
7.Ni mzuri sana ( hard to keep ); mostly kwa wanawake
8.Umbali
9.Dini
10.Kimo
11.Kashaoa/olewa
12.Ni single mom/dad
13.Unaogopa kushindwa kujinasua
14.Miiko
16. Rangi
17.Ugonjwa n.k
[Kuna dada kaukosha moyo wangu sana na kashaonesha green light ila najaribu kujizuia kutokana na sababu mojawapo apo juu ingawa naona dalili zote za kushindwa]
I guess wengi huwa tunakutana na hali kama hii, vp uliwezaje kuistahimili?
View attachment 2654697
Mleta uzi toa sababu yako kulingana na namba.Wasalaam keyboard warriors..
Kuna ile hali unajikuta unampenda sana mtu pasipo yeye kujua au pengine anajua ila unajizuia kumwambia ili muingie kwenye mahusiano au kufanya nae mapenzi kutokana na sababu ambazo zipo nje ya uwezo wako kuepuka madhara yatakayo jitokeza baada ya hayo mahusiano mfano:
1.Umri
2.Ana vijitabia usivovipenda kama vile ulevi, umalaya au wizi
3.Haingiliki kirahisi
4.Uchumi
5.Ni muathirika
6.Mna undugu wa karibu
7.Ni mzuri sana ( hard to keep ); mostly kwa wanawake
8.Umbali
9.Dini
10.Kimo
11.Kashaoa/olewa
12.Ni single mom/dad
13.Unaogopa kushindwa kujinasua
14.Miiko
16. Rangi
17.Ugonjwa n.k
[Kuna dada kaukosha moyo wangu sana na kashaonesha green light ila najaribu kujizuia kutokana na sababu mojawapo apo juu ingawa naona dalili zote za kushindwa]
I guess wengi huwa tunakutana na hali kama hii, vp uliwezaje kuistahimili?
View attachment 2654697
Tuna iheshimu sana ndoa japo ndoa yenyewe haturudishii heshima, vitanda tuna vitandika vizuri tunalala pazuri tu, definition ya uzinzi na uasherati haipo sawa na haijulikani vizuri na wengi wetu, so usichokifahamu hakidhuru my friend.Ebran: 13:4
Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
SawaTuna iheshimu sana ndoa japo ndoa yenyewe haturudishii heshima, vitanda tuna vitandika vizuri tunalala pazuri tu, definition ya uzinzi na uasherati haipo sawa na haijulikani vizuri na wengi wetu, so usichokifahamu hakidhuru my friend.