Ulishawahi kujizuia kumpenda mtu?

Ulishawahi kujizuia kumpenda mtu?

12.Ni single mom/dad

Hapa pamenikosa mchuchu mmoja ambaye pengine kwa sasa angekuwa mama yeyo...

Siku zote huwa natamani ningekutana naye zamani zaidi...

Popote ulipo dada yake Edo, soma mwandiko huu kwa makini utamjua tu aliyekuandikia hapa...
 
Hapa pamenikosa mchuchu mmoja ambaye pengine kwa sasa angekuwa mama yeyo...

Siku zote huwa natamani ningekutana naye zamani zaidi...

Popote ulipo dada yake Edo, soma mwandiko huu kwa makini utamjua tu aliyekuandikia hapa...
Mkwe taarifa nazifikisha.
 
Motoni panakuhusu haiwezekani Mungu aumbe vitu halafu wewe usijishughulishe navyo! Moto wa makaa ya mawe unakuhusu! Itakuwa unahisia kama za ng'ombe ng'ombe hivi!
🤣🤣🤣🤣🤣
Si najishughulisha na mengine ya msingi.
 
Kijana usiruhusu halmashauri ya kichwa cha chini ikuongoze.....
 
Mengine kama yapi hunywi pombe, hujawahi kufumaniwa, hujawahi kuiba mume wa mtu Sasa we unautumiaje uhaia wako.. do you really exist...??
Ngoja niibe mume wa mtu ili angalau niwe naexist.
 
Wasalaam keyboard warriors..

Kuna ile hali unajikuta unampenda sana mtu pasipo yeye kujua au pengine anajua ila unajizuia kumwambia ili muingie kwenye mahusiano au kufanya nae mapenzi kutokana na sababu ambazo zipo nje ya uwezo wako kuepuka madhara yatakayo jitokeza baada ya hayo mahusiano mfano:

1.Umri
2.Ana vijitabia usivovipenda kama vile ulevi, umalaya au wizi
3.Haingiliki kirahisi
4.Uchumi
5.Ni muathirika
6.Mna undugu wa karibu
7.Ni mzuri sana ( hard to keep ); mostly kwa wanawake
8.Umbali
9.Dini
10.Kimo
11.Kashaoa/olewa
12.Ni single mom/dad
13.Unaogopa kushindwa kujinasua
14.Miiko
16. Rangi
17.Ugonjwa n.k

[Kuna dada kaukosha moyo wangu sana na kashaonesha green light ila najaribu kujizuia kutokana na sababu mojawapo apo juu ingawa naona dalili zote za kushindwa]

I guess wengi huwa tunakutana na hali kama hii, vp uliwezaje kuistahimili?


View attachment 2654697
Inategemea, unaeza jzuia mwanzoni lakn mwshowe ukiingia tu. Ni mazima unaona na kuoa kabisa mkuu
 
Wasalaam keyboard warriors..

Kuna ile hali unajikuta unampenda sana mtu pasipo yeye kujua au pengine anajua ila unajizuia kumwambia ili muingie kwenye mahusiano au kufanya nae mapenzi kutokana na sababu ambazo zipo nje ya uwezo wako kuepuka madhara yatakayo jitokeza baada ya hayo mahusiano mfano:

1.Umri
2.Ana vijitabia usivovipenda kama vile ulevi, umalaya au wizi
3.Haingiliki kirahisi
4.Uchumi
5.Ni muathirika
6.Mna undugu wa karibu
7.Ni mzuri sana ( hard to keep ); mostly kwa wanawake
8.Umbali
9.Dini
10.Kimo
11.Kashaoa/olewa
12.Ni single mom/dad
13.Unaogopa kushindwa kujinasua
14.Miiko
16. Rangi
17.Ugonjwa n.k

[Kuna dada kaukosha moyo wangu sana na kashaonesha green light ila najaribu kujizuia kutokana na sababu mojawapo apo juu ingawa naona dalili zote za kushindwa]

I guess wengi huwa tunakutana na hali kama hii, vp uliwezaje kuistahimili?


View attachment 2654697
Mimi nina pisi kali sana,ktk maeneo ya kazi,lakini nalazimika kuiacha kwa sababu pamoja na uzuri na muonekano wa WIFE material anaweza tu kuamka hata saa tatu usiku akaenda club na akarudi amelewa saa tisa za usiku na kusema kirahisi tu kua anapenda club na hajawahi kunichit, aisee ni umiiza kichwa mbaya
 
Back
Top Bottom