Ulishawahi kujizuia kumpenda mtu?

Piga chini hiyo sababu inayokuzuia kufall in love naye.Mwambie unampenda Kisha umuombe mbususu.

Kitakachokukuta huko mbeleni utajua mwenyewe.
 
1. Inanihusu aisee mtt alikuwa na miaka 18 hv wakati mjuba nna 36 flani hvi amazing halafu binti alikuwa yuko resi ila niliona dalili za kwenda kuteseka mbeleni huko, baada ya shoo mbili tatu ilibidi nijizuie ilihali mtt alikuwa bdo ananihitaji
 
WATU LETENI VISA TUJIFUNZE
 
Mleta uzi toa sababu yako kulingana na namba.
 
Ebran: 13:4

Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
Tuna iheshimu sana ndoa japo ndoa yenyewe haturudishii heshima, vitanda tuna vitandika vizuri tunalala pazuri tu, definition ya uzinzi na uasherati haipo sawa na haijulikani vizuri na wengi wetu, so usichokifahamu hakidhuru my friend.
 
Maisha yana mambo mengi,inatokea unabaki kukaa kimya tu kuongea na ww mwenyewe[emoji55]
 
Tuna iheshimu sana ndoa japo ndoa yenyewe haturudishii heshima, vitanda tuna vitandika vizuri tunalala pazuri tu, definition ya uzinzi na uasherati haipo sawa na haijulikani vizuri na wengi wetu, so usichokifahamu hakidhuru my friend.
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…