SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,413
Mbona mwanaume anaweza kumpenda mwanamke ambae hana kitu. Inakuaje mwanamke ashindwe kumpenda mwanaume ambae hana kitu. Tunazungumzia nini hapa, mapenzi au biashara ya uchi?
Kuna kutokua na kitu na kua upo upo tu hivi ni vitu viwili tofauti..
Yupo anaejishughulisha ila pengine hana gari ila anaweza kukulisha sasa hapo kuna wanawake wengine huna gari hakutaki mwengine atakutaka..
Haya Kuna wanaume wengine hata kazi hana Huyu Ndio mtihani kabisaaaa Yaani wanawake wachache sana wanaweza kukukubali ila wapo pia wanaweza kukupenda hivyo hivyo huna kazi so usimlaumu mtu na mapendekezo yake wapo pia wanaume hawataki wanawake wasokua na kazi