Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hahahahahaa sasa mbona unataka kumwaga mtam[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]akili yako unaijuaga mwenyewe yani ulivyo na mwandiko wako ni maji na mafuta itabidi uzaliwe upya.
Supu asubuhi hii inaelekea jana ulikuwa na show nzito [emoji1][emoji1].
Nimeamka poa aiseh rafiki yangu..sijui wewe baba
Hamna jana nilikua safari, nmefika saa nne, sasa nmeamka na njaaa