Pesa inayohitajika ni ya kawaida tu ya kuweza kutimiza majukumu.
Ugali wa mama ntilie unahitaji pesa.
Mapenzi hadharani ni ya kuku, mbwa na jamii yao.
Vichakani mkigongwa na nyoka utahitaji pesa kutibiwa.
Acha porojo tafuta pesa.
Pesa ni ya kuwalipa fadhila hao hao Mademu!! unao wagegedea porini!! siyo ya kufugia majini!!!! ok! umepata hela nyingi! bado ukijenga nyumba! ni ili akae huyohuyo !! ulie mgegedea porini! na utakufa nae! mtazikana nyumba hutakaa peke yako!!
Hata uwe mchoyo kivipi! hata mtu awe shoga maarufu lazima akae na mtu wake walio wahi gegedana porini!! ukinunua Gari huta panda wewe tu na wanaume wenzako ili iweje??! utashangaza umma!!
Utamu wa gari upande na Demu wako ulie mgegedea porini one day!! wkt huna kitu!! ndo utamu wenyewe hata mkipitia hapo mcheke kidogo! Daaa! ''unakumbuka hii sehemu?
Mama ntilie kwanza ni
bei rahisi mnoo bin kabisa!! maridadi mnooo!! pili
Ni wasafiii unakopesheka kirahisi hata kwa week nzima!! mwezi! au mpaka ukipata pesa!
Tatu- anaweza kuwaongezea mkitaka ni kiasi cha kusema tu sija shiba, uko huru!
Nne- ni msafi, ni mkweli analinda uteja unakula kimsosi cha leo leo!! ambacho hakija kaa kwa friji mda mrefu!
Tano- unajenga ukaribu nae!! anaweza hata kukupenda wewe! ikawa rahisi kwako kula mlo wa bure kila ukihitaji hivo! na mbunye maridadi ya kiutu uzima ukiihitaji! ukapunguza maatizo!
Sita- ni level yako! anaweza kukuajili ukawa umepata ajira kiubweteee!! au akakuunganisha kwa muuza bucha wake je hujaishi vizuri mwana jf?
Mapenzi hadharani ni ya viumbe wote kwani wewe ulitoka wapi?!! km ni siri piga picha, shemeji ako! kaka yako ! wazazi wako hawalali pamoja? au umekuzwa na single maza? utachelewa sana uzeeni huko!!
Ukishtuka uko miaka 70 ndo unaanza kufanya mambo ya kijana wa miaka 15 utashangaza jamii na kuonekana Limbukeni anza sasa dogo ndo muda wako huu!!
Vichakani? sasa hata nyoka mdudu akugonge hakuogopi ?? mtu gani wewe? umerogwa au? yaani hata mkwara wa kumpiga nyoka huna??? basi jua una safari ndefu ya punyeto!!
kama hata wadudu wa hovyo! kibisa wanawachezea hawakuogopi ni mikosi mibaya sana!! but hujachelewa muone Mshana jr akupe dawa! uogee mtoni!! usiku wa manane..
anapatikan humu! au km vepe mfuate, Mbwewe au maskani Msata karibu na Daraja la Wame! kushoto fuata njia ya kilimani pinda kushoto mbele utaona kajumba kake kana alama ya nyoka hivi.. hapo... jitambulishe na umuelezee kinyumenyume!!