naambiwa nyinyi ndo mahodari wa kuroga...๐คฃTusio na status tunaonaga freshi tu tunahamia kwingine.
Jibu hili hapa!Ni mbinu tu mkuu, mwingine anajitazama anajiona kabisa yeye sio level yako anaamua akukate ili alinde moyo wake..maana anajua lazima utakua nao wengi unawapanga tu
๐คฃ๐คฃ๐คฃeeehnaambiwa nyinyi ndo mahodari wa kuroga...๐คฃ
njoo..๐คฃ๐คฃ๐คฃeeeh
Naomba nikuroge basi๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
sawa๐คฃnjoo..
ama nikufuate..?sawa๐คฃ
NdagaUghonile.,
Kuna ile hali unasema yule mkaka/mdada nikigusa tu lazima anase lakini mwisho wa siku unapigwa kibuti unabaki umeduwaa.
Ukijitathmini unaona uko fresh kabisa, uko vizuri kiuchumi, handsome/mrembo, una kausafiri kako, unatokea familia yenye profile kubwa, msomi n.k na mbaya zaidi unakuta mhusika anakua anajua status yako in and out lakini anakuchomolea?
Vipi wewe ishawahi kukutokea? Ulijiskiaje?
Ndiooama nikufuate..?
hujafunga pm kama wadada wengine nijepo...๐Ndioo
Kila Shetani na mbuyu wakeHi
Ilinikuta mkuu demu anagawa ubumbu kishenz nikaenda Kuomba oya nilijuta
Kumbe unahangaika kwenye PM za watu huko๐๐๐๐basi usijehujafunga pm kama wadada wengine nijepo...๐
aku mi sipo hivyo ila naonaga tu vijana wanalalamika wamefungiwa pm sasa we si mmoja wao anaefunga pm...??Kumbe unahangaika kwenye PM za watu huko๐๐๐๐basi usije
Tatizo ni pale wengine tukinywa kidogo,Yani mtaani hakuna demu hujatongozaNdio maana uwa sitongozi ovyo ovyo. Nalinda hii brand.
tatizo vijana amkogi dawaIyo mentality ndio naongelea apa, unakuta uko very confident kuwa kwa jinsi nilivyo hakuna mdada anaeza nikataa but guess what,, dilemma
Hapana mkuu sijawahi kufunga PM since nimejiunga jf wanafungia wapi kwanza?๐aku mi sipo hivyo ila naonaga tu vijana wanalalamika wamefungiwa pm sasa we si mmoja wao anaefunga pm...??
Yeah na maisha yanaendeleaTusio na status tunaonaga freshi tu tunahamia kwingine.