Ulishawahi kukataliwa pamoja na status yako? Ulijisikiaje?

Ndaga
 
Wengi wanawakaribia wanawake wakiamini status na pesa zao zitawabeba na hata kutongoza hawajui, manzi wenye akili na wanaojielewa ni ngumu kukubali kwa hali hiyo. Vizabizabina na wanaopenda kuonekana kuwa niko na fulani mwenye hadhi yake ndio wanaopangwa na kuachwa njiani..
Hiwa natongoza inapobidi tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ