KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
naambiwa nyinyi ndo mahodari wa kuroga...🤣Tusio na status tunaonaga freshi tu tunahamia kwingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naambiwa nyinyi ndo mahodari wa kuroga...🤣Tusio na status tunaonaga freshi tu tunahamia kwingine.
Jibu hili hapa!Ni mbinu tu mkuu, mwingine anajitazama anajiona kabisa yeye sio level yako anaamua akukate ili alinde moyo wake..maana anajua lazima utakua nao wengi unawapanga tu
🤣🤣🤣eeehnaambiwa nyinyi ndo mahodari wa kuroga...🤣
njoo..🤣🤣🤣eeeh
Naomba nikuroge basi🤣🤣🤣🤣
sawa🤣njoo..
ama nikufuate..?sawa🤣
NdagaUghonile.,
Kuna ile hali unasema yule mkaka/mdada nikigusa tu lazima anase lakini mwisho wa siku unapigwa kibuti unabaki umeduwaa.
Ukijitathmini unaona uko fresh kabisa, uko vizuri kiuchumi, handsome/mrembo, una kausafiri kako, unatokea familia yenye profile kubwa, msomi n.k na mbaya zaidi unakuta mhusika anakua anajua status yako in and out lakini anakuchomolea?
Vipi wewe ishawahi kukutokea? Ulijiskiaje?
Ndiooama nikufuate..?
hujafunga pm kama wadada wengine nijepo...😅Ndioo
Kila Shetani na mbuyu wakeHi
Ilinikuta mkuu demu anagawa ubumbu kishenz nikaenda Kuomba oya nilijuta
Kumbe unahangaika kwenye PM za watu huko😂😂😂😂basi usijehujafunga pm kama wadada wengine nijepo...😅
aku mi sipo hivyo ila naonaga tu vijana wanalalamika wamefungiwa pm sasa we si mmoja wao anaefunga pm...??Kumbe unahangaika kwenye PM za watu huko😂😂😂😂basi usije
Tatizo ni pale wengine tukinywa kidogo,Yani mtaani hakuna demu hujatongozaNdio maana uwa sitongozi ovyo ovyo. Nalinda hii brand.
tatizo vijana amkogi dawaIyo mentality ndio naongelea apa, unakuta uko very confident kuwa kwa jinsi nilivyo hakuna mdada anaeza nikataa but guess what,, dilemma
Hapana mkuu sijawahi kufunga PM since nimejiunga jf wanafungia wapi kwanza?😄aku mi sipo hivyo ila naonaga tu vijana wanalalamika wamefungiwa pm sasa we si mmoja wao anaefunga pm...??
Yeah na maisha yanaendeleaTusio na status tunaonaga freshi tu tunahamia kwingine.