monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!Kuna mwingine anakuonesha green lights kibao ila siku ukijichanganya kutaka kumuingiza kwenye mfumo anakataa kufit kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana!Kuna mwingine anakuonesha green lights kibao ila siku ukijichanganya kutaka kumuingiza kwenye mfumo anakataa kufit kabisa
Mapishi gani tenaMamaaa wa mapishi
Wanawake wanazuzuka na vitu vidogo sana, and it seems like bado hujawajua vizuri wanawake.Kama IST unafanyia uzinzi ..ukipata RANGE ROVER si utageuzaa Jehanamu ndogo
Samahani mkuu hilo lilikua ni Jungu tu...Wanawake wanazuzuka na vitu vidogo sana, and it seems like bado hujawajua vizuri wanawake.
We jamaa wapi upo?Hatari sana
Hulali? Nipo ChrisWe jamaa wapi upo?
Npo milan lounge njoo PM chapHulali? Nipo Chris
Badili kiwanja mzee au mpaka utekwe?Npo milan lounge njoo PM chap
sawa mkuuAcha chai mkuu...
hapo CRISS andaa bia mbili sasa nakujaBadili kiwanja mzee au mpaka utekwe?
Unalala sana ww jamaaBadili kiwanja mzee au mpaka utekwe?
I have through these situation for 10 years nowLearn the hard way
may be one day you can find someone who will connect well with you
Pia kutongoza tongoza hovyo ni moja wapo ushamba,na watongoza hovyo ndo wanaongoza kwa kukataliwa maana mara nyingi huwa wana papara, wakati kanuni namba moja ya kutongoza ni kutokuwa na papara na kuwa mtulivu.Madomo zege mnapeana moyo.
Bibiye hii post yako imenifanya kucheka kwa nguvu mpaka watu wemestuka kwenye hii baa niliyopo.Tusio na status tunaonaga freshi tu tunahamia kwingine.