Ulishawahi kukimbiwa na kuachiwa bili mezani? Ilikuaje?

Waambie,kina Evelyn Salt wanaona ni vizuri kuja na marafiki zao. Umejiandaa bajeti ya mtu 2 anakuletea na rafiki zake nao wanataka walewe kwa pesa zako!
Unawaacha waagize weeee…na chakula pia waagize 😅😅wakianza kula chap unawakimbia
 
Ziliwekwa bia tano nilivofikisha bia ya nne nikanywa nusu then nikazuga kwenda chooni nikatokomoa kusikojulikana, Alieniachia bill alikuwa jamaa yangu yaani mwenye utani wa ngumi. Uzuri niligundua mapema kuwa alinipa offer kiutani. Nampigia simu anasema waambie wakupe kazi ya kuosha glass
 
twende mbele turudi nyuma..sema ulianza umalaya ukiwa bado mdogo sana. kidato channe unaalikwa sehemu yastarehe unaenda? 🤣🤣🤣Hadi sasa itakuwa umedunguliwa mishale kibao 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣tena bora angekuwa anacheza na vichalii.yeye alikuwa ana penda baba zake🤣🤣unakuta alikuwa namiaka17 shimo lamiaka40
Oooh nyie mlijitunza hadi lini ndio mkaanza kufirwer???
 
Leo umeniudhi sana

Sikutongozi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…