Unawaacha waagize weeee…na chakula pia waagize 😅😅wakianza kula chap unawakimbiaWaambie,kina Evelyn Salt wanaona ni vizuri kuja na marafiki zao. Umejiandaa bajeti ya mtu 2 anakuletea na rafiki zake nao wanataka walewe kwa pesa zako!
Hii ya majini ilishamkuta rafiki yangu mmoja mkurya kipindi tuko chuo. Alibeba demu walikutana bar akaenda naye lodge kufika ile wamevua nguo akaanza eti nataka nyama kama kapandwa maruhani. Wambura alitoka nduki suruali akalivalia mapokezi.Hahahaaa siku nyingine jifanye umepandisha majini atakimbia mwenyewe
Hahaha, haki ya mama umenichekesha. Yani wakati nasoma na mi nlikua naiwazia hiyo kiti moto ambayo hamkuitia hata machoni.Afu kilichoniuma sana nilikua natembea kwa mawazo ni ile kitimoto yani nimeagiza halafu hata sikuitia machoni.....Mungu atanilipa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu wanaagiza hao, utafikiri walikuwa kwenye mfungo wa kuombea taifa. Utasikia "niitie wa jikoni "😂😂Unawaacha waagize weeee…na chakula pia waagize 😅😅wakianza kula chap unawakimbia
twende mbele turudi nyuma..sema ulianza umalaya ukiwa bado mdogo sana. kidato channe unaalikwa sehemu yastarehe unaenda? 🤣🤣🤣Hadi sasa itakuwa umedunguliwa mishale kibao 🤣🤣
Oooh nyie mlijitunza hadi lini ndio mkaanza kufirwer???🤣🤣🤣🤣tena bora angekuwa anacheza na vichalii.yeye alikuwa ana penda baba zake🤣🤣unakuta alikuwa namiaka17 shimo lamiaka40
Inauma🤣🤣🤣Hahaha, haki ya mama umenichekesha. Yani wakati nasoma na mi nlikua naiwazia hiyo kiti moto ambayo hamkuitia hata machoni.
Unajigeuza Umughaka story isiyoisha?😁Story ndefu kidogo, nitaandika nitakuita 🤣🤣🤣
Uliachiwa bill au ulifukuzwa???😂😂😂Evelyn Salt umenikumbusha jambo yaani nacheka na machozi 🤣🤣🤣
Leo umeniudhi sanaMwaka umekuwa na mambo mengi sana, tupunguze stress kidogo.....Ulishawahi kupata aibu hii?
Miaka ya nyuma kidogo nikiwa bado mwanafunzi form 4 nadhani kuna jibaba enzi hizo buzi, likanipa mistari na kuniita mahali jioni, nikajisema si kula tu??? Naenda mie...mida imefika nikachukua simu ya sister nikampigia na kumtaarifu nakuja ila nakuja na sister angu akasema hamna shida njooni.
Haooo tukatinga na viatu virefu jamani halafu mfukoni hatuna hata sh 100, tax tumechukua akaenda kulipa, tukaagiza kitimoto kg 2 na vinywaji, pale mezani yupo na wenzie wanne wakati tunawait msosi uje yule dingi akaanza kunishika shika basi nikawa namind namwambia nipo na sista angu usinishike tuongee tu, akafanya hivo kama mara tatu mi nakataa....bwanaweeeehhh eti akamind akaanza kunifokea na hakuishia hapo akatufukuza bila hata nauli😂😂 vinywaji hatujamaliza wala kitimoto haijafika....ana dhambi yule fala 😁
Hapo mida kama ya saa mbili hivi tukaanza kutembea kwa miguu kutokea kona ya Bwiru hadi mitaa ya rufiji nyie! nyie! tumeomba lift kwenye daladala wapiii tumenyimwa tukavua na viatu tukakanyaga peku moja mbili hadi home make miguu ishachoka ...huwa nacheka nikikumbuka huo mtoko.
Nimemkumbuka hili tukio baada ya kisa kilichotokea juzi, nilikua mitaa flani naendelea kuukaribisha mwaka, meza ya pembeni akaja demu mkare akaagiza wine akaanza kuipiga ile kunywa kulamba mwendo wa kumsubiria sponsor aje, baada ya muda jamaa akatimba, jamaa mapepe hata haendani na yule demu kwakweli japo hayanihusu 😁
Dem kuona mlipa bill kaja akaongeza na spidi na akachangamka, mara ikaagizwa chupa ya pili, jamaa anaagiza Heineken zake pale anapiga na watu offer....imefika saa nne akatoka kama anaenda kuongea na simu daaahhh mtoto kaachiwa bill pale ilibidi aache simu
Epuka aibu, beba pesa yako, happy new year familia
🤣🤣🤣ona hili libibi Malaya🖕wee Nina hakika 07 a.ka tigo washa kula wahini😂😂nauzee wako huo bado Malaya?onaaibu basiOooh nyie mlijitunza hadi lini ndio mkaanza kufirwer???
Ntatulia hapa nione walioumizwa😅😅Inauma🤣🤣🤣
Afu nimekuja Arachuga, umeniblock....Haijawahi nitokea bado 😀😀😀
Yani nilivo na furaha zangu, we shoga hebu pita vile niache niendelee kucheka mie kwaheri🤣🤣🤣ona hili libibi Malaya🖕wee Nina hakika 07 a.ka togo washa kula wahini😂😂nauzee wako huo bado Malaya?onaaibu basi
UkomavuYani nilivo na furaha zangu, we shoga hebu pita vile niache niendelee kucheka mie kwaheri
Wewe si ulishanikataa kabla sijakutongoza? Unadhani sikumbuki?Tulia wewe Insyuka🤣🤣🤣🤣🤣
Evelyn Salt
Dj diiijeiii mlete Asprin na kibao cha Nitongoze 😁Leo umeniudhi sana
Sikutongozi tena
Acha uongo. Mbona hapa umenipata?Afu nimekuja Arachuga, umeniblock....