Ulishawahi kukimbiwa na kuachiwa bili mezani? Ilikuaje?

Hii ya majini ilishamkuta rafiki yangu mmoja mkurya kipindi tuko chuo. Alibeba demu walikutana bar akaenda naye lodge kufika ile wamevua nguo akaanza eti nataka nyama kama kapandwa maruhani. Wambura alitoka nduki suruali akalivalia mapokezi.
🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna mambo yanachekesha sana
 
unajua kisa chako kinachekesha.😂😂😂bora ulambwe vibao ila kitimoto ungekuwa umekula.
 
Hii jeuri nzuri sana
 
Kuna uzi wa pombe hapa ndani
Ama uzi wa vyakula
Kwanini tusipige picha tuje kushea 😄
 
Story iko tofauti kidogo na yako mimi nilikula tupesa twake ila kutoa nanii nakataa tukipanga tukutane sitokei jamaa alikuja kunijazia inzi mtaani sisahau😬😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣daaah kuna wati jasiri sana
 
Jamanii halafu mtaani wanajua ni mtu wa aibu na dinii sana jamaa alikuja kuongea shombo nilijuta kuchukua pesa yake leo umenikumbusha aisee😁😁
Ulilipa au ndio alijilipa kwa kujaza nzi 🤣
 
😁😁Mkuu sasa mtu anakubembeleza we chukua tu hata kama unitaki 😁😁
Anayetaka papa anajulikana tu.
Kuna watu vichaa we kula ujue utaliwa kwa lazima au ukomolewe...sio mimi lkn🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…