Ulishawahi kukimbiwa na kuachiwa bili mezani? Ilikuaje?

Mwana dada hakikisha unatoka na pesa au card ya bank katika matembezi yako muhimu.

Bora ni sahau simu lakin ni card ya bank wala pesa Kwa mkono.veri simpo
Hapa ninakupinga Chakorii.
Unataka kusema wasio na pesa wasiitikie wito?
Jambo la muhimu nashauri kabla hujaitikia wito hakikisha;
1. Unajua fika unatolewa out kwa minajili gani?...hoji kila kitu usiende kikondoo

2. Ujifika pia usifakamia hasa ikiwa ni out ya kwanza na huyo mtu.
 
Na hivi ndivyo inavyotakiwa mwanamke uwe.tena ingewezekana na bill yake ungemlipia kabisa..shwaini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]alikunywa soda enzi zile 250 nakumbuka Mpk hapo hajaniongelesha Tena ujinga wake,hakuna kitu kibaya km kutoka huna pesa najitahidi Nile kwa mfuko wangu ulivyo
 
Sasa kama anaekutoa out ni mtu unaemwamini halafu anaenda kukutelekezea bill nini maana Yake?hivi utatolewaje out jaman ushindwe hata kumtip waiter kisa hulipii bill wewe🤓🤓hapan.

Mwanamke beba pesa yako ya akiba fulstop
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee ulimuweza jamaa itakuwa hakukutafuta tenaaa aisee..
[emoji3][emoji16][emoji16]aliniheshimu na ujinga ujinga wake aliacha kwangu [emoji1][emoji1][emoji1]!!!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alijiandaa kulipa bill ya soda tu....

Kuna jamaa aliwahi kuandika eti ye hachezei hela akiita demu out ni glass moja ya juice na mirija miwili nilicheka jamani [emoji1787][emoji1787]
[emoji1][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]juice mnakunywa wote kaaahhh
Sasa enzi red bull ndo habari ya mjini
 
Nilikwambia tutoke ujue Nina pesa ya kutosha yaani apo everything upon me kula kunywa na ganja tutachoma🔥🔥
 
Wewe kweli ni mafia[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…