Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Jitoe mwenyewe😂😂😂nitoe mie hapo,sina shida kabisa jaman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitoe mwenyewe😂😂😂nitoe mie hapo,sina shida kabisa jaman
Sawa😔Jitoe mwenyewe
🤣🤣🤣🤣Alikuwa anataka tukamwagiane sasa,yaan ndo kwanza nimeshika kasamaki nibubune kichwa...kaanza ooo unajua,Lodge sijui nn😳 huyu nae anasemaje🙇
😬😁😁😁Alikuwa anataka tukamwagiane sasa,yaan ndo kwanza nimeshika kasamaki nibubune kichwa...kaanza ooo unajua,Lodge sijui nn😳 huyu nae anasemaje🙇
Huyo jamaa itakuwa ana matatizo kichwani yaani anaweza kukuvamia pasipo na sababu bora umelisuta😬😁😁😁Yani nilivo na furaha zangu, we shoga hebu pita vile niache niendelee kucheka mie kwaheri
Ili muendelee kutunyanyasa eti [emoji16]Hii ndio inatakiwa sasa ni marufuku mwanamke kushika hela maana inawapa confidence za kijinga sana [emoji3]
Wacha bhana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Niitie mtu wa jikoni 🤣🤣🤣🤣Na nyie kitimoto kilo mbili mabint mna friji huko tumboni 🤣🤣🤣🤣
Halafu hutak kupapaswaNiitie mtu wa jikoni 🤣🤣🤣🤣
Ya kutaka kila bila kukubali kuliwa kidg[emoji4]Tamaa gani tena? Ya kuliwa ama kula kitimoto?
Usibishe binamu Glenn Yuko sahii kabisa[emoji4][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijawah ila wakat nikiwa ndo naanza anza utundu wa kujua kilichopo ndani ya surual me na ka boy kangu tuliwahi kukimbia bill ya room. Ka bebi kalikuwa kagangaji kakaniambia tangulia naja kimya kimya....kweli tukatoroka[emoji24][emoji24]