Ulishawahi kukutana na mtu aliyevaa nguo zinazofanana na zako? How did you react to it?

Haujikutagi kuwa unalazimika kumpa salamu hata kama ulikuwa hauna mpango huo ila kwa kuwa tu nguo zenu zinafanana?
Lusinde: Mimi nilikuwa na Lissu Bungeni, hajawahi zungumzia maendeleo ni malalamiko tu na ndiyo maana nilikuwa namuita Malalamiko FC.
 
Haujikutagi kuwa unalazimika kumpa salamu hata kama ulikuwa hauna mpango huo ila kwa kuwa tu nguo zenu zinafanana?
mbowe anaswaga 326m za ruzuku kila mwezi plus michango ya wabunge wa chadema,kujenga ofisi hata yenye ukubwa wa banda la kuku imeshindikana.
 
Haujikutagi kuwa unalazimika kumpa salamu hata kama ulikuwa hauna mpango huo ila kwa kuwa tu nguo zenu zinafanana?
Kwa hali aliyonayo Bernard Membe, Kikwete alikuwa sahihi huyu hakustahili kupeperusha bendera ya CCM hata kidogo.
 
Hiki Kiingereza cha mtu aliyekuwa Uingereza miaka mitatu? Tena London kabisa? Basi kazi ipo! Matumizi "them" yameniacha hoi!
 
Wiki Kama mbili zimepita nilivaa jeans yangu na sharti Kama sharti ila la kitenge cha kijani Niko mitaa ya kigamboni darajani nakutana na shazi la bongo movie wadada na nguo za vitenge za kijani nilijisikia vibaya Sana..Nilihisi watu wote wataniona Mimi ni mbongo movie !
 
Loooh pole sana friend kwa maana sipati picha hiyo noma yake.
 
Magufuli miaka mitano tena .ameleta mabadiliko makubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…