Kadi Poa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,015
- 1,005
Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo.Sawa ndugu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo.Sawa ndugu.
Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania, Yampongeza Rais Magufuli na Kuipongeza Tanzania, Kujenga Mazingira Bora ya Biashara ya Mafuta, Uwekezaji.Sawa ndugu.
Kumbe sera ya Bima ya afya kwa watanzania wote Tundu Lissu ka copy kutoka Ilani ya ccm!Sawa ndugu.
Nimeona na daraja letu la kigamboni,hongera Magufuli.Sawa ndugu.
Vijana kama sisi ndio wazalendo Tumpe muda Rais Magufuli afanye mambo makubwa.How did you react? I am here trying to dig the psychological part of it
Lusinde: Mimi nilikuwa na Lissu Bungeni, hajawahi zungumzia maendeleo ni malalamiko tu na ndiyo maana nilikuwa namuita Malalamiko FC.Haujikutagi kuwa unalazimika kumpa salamu hata kama ulikuwa hauna mpango huo ila kwa kuwa tu nguo zenu zinafanana?
Sawa...Lusinde: Mimi nilikuwa na Lissu Bungeni
mbowe anaswaga 326m za ruzuku kila mwezi plus michango ya wabunge wa chadema,kujenga ofisi hata yenye ukubwa wa banda la kuku imeshindikana.Haujikutagi kuwa unalazimika kumpa salamu hata kama ulikuwa hauna mpango huo ila kwa kuwa tu nguo zenu zinafanana?
Kwa hali aliyonayo Bernard Membe, Kikwete alikuwa sahihi huyu hakustahili kupeperusha bendera ya CCM hata kidogo.Haujikutagi kuwa unalazimika kumpa salamu hata kama ulikuwa hauna mpango huo ila kwa kuwa tu nguo zenu zinafanana?
Mimi niliambiwa we muhudumu acha dharau,wateja tumekuja wewe unakunywa bia tu,nguo za dukani noma
Halooo wee acha tu Dina.Na nguo siku hizi zilivyo nyingi zinafanana kama sare
Hiki Kiingereza cha mtu aliyekuwa Uingereza miaka mitatu? Tena London kabisa? Basi kazi ipo! Matumizi "them" yameniacha hoi!Kijana wangu Infantry Soldier unaonekana bado umri wako mdogo sana kwa hapa jukwaani.
Kuna kipindi fulani nilikaa London kwa muda wa miaka mitatu ya masomo. Yaaaani If I saw the same shirt I was wearing on another person at a party, I would walk up to them and say; Great shirt! I love you taste," or something along those lines.
The last thing you want to do is stand on the opposite side of the room, glowering at that person, wishing them out of your shirt. They feel the same embarrassment you do.
Halooo wee acha tu Dina.
Mimi nilikutana na jamaa mmoja amevaa shati special kama langu alafu wote tukawa tunaenda kula mkate wa bwana kanisani Njiro Arusha.
Nilijisikia vibaya sana.
Binadamu tunapenda sana kuwa uniquehaina haja ya kujisikia vibaya mi naona kawaida tu
Loooh pole sana friend kwa maana sipati picha hiyo noma yake.Wiki Kama mbili zimepita nilivaa jeans yangu na sharti Kama sharti ila la kitenge cha kijani Niko mitaa ya kigamboni darajani nakutana na shazi la bongo movie wadada na nguo za vitenge za kijani nilijisikia vibaya Sana..Nilihisi watu wote wataniona Mimi ni mbongo movie !
Magufuli Mungu amlindw kwa maana anagusa maisha ya watu wanyonge.Loooh pole sana friend kwa maana sipati picha hiyo noma yake.
Rais Magufuli ni mtu mwema na yupo makini sana.Haujikutagi kuwa unalazimika kumpa salamu hata kama ulikuwa hauna mpango huo ila kwa kuwa tu nguo zenu zinafanana?
Magufuli miaka mitano tena .ameleta mabadiliko makubwa.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB. Leo ngoja tujadili kidogo changamoto za maisha katika jamii tunamoishi.
Eti ndugu zangu Watanzania;
HUMAN BEHAVIORAL PSYCHOLOGY.
============
Ulishawahi kukutana na mtu ghafla (kwenye sherehe, daladala au njiani) aliyevaa nguo zinazofanana na za kwako? How did you react to it? mlipungia mkono, mlipeana tabasamu, mlimfuata kumsalimia au ulikwepesha macho?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.