kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,539
ndio mkuu kuna ka raha flani hivi kama una drive utaelewaYaani wanaelewa kuwa ni salamu ya kufanana kwa model ya gari, sijui na rangi (check kwenye red)?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio mkuu kuna ka raha flani hivi kama una drive utaelewaYaani wanaelewa kuwa ni salamu ya kufanana kwa model ya gari, sijui na rangi (check kwenye red)?
Mimi model sawa, na rangi sawa, hauhitaji kunipiga taa, kwani utapishwa tu.ndio mkuu kuna ka raha flani hivi kama una drive utaelewa
Sawa sawa...Jamaa hajui kama kazi yangu ni sawa tu na yake tofauti yeye anatumia elimu.
Hatari sanaKwa hasira na mimi nikaigawa bure suti yake kwa muuza juice ya miwa. GG ikawa imetoa tayari.
Sawa mkuuHua nachukia sana ndomaana napenda kuvaa mtumba
Niliibiwa nguo wakati nasoma chuo nilikua nakaa off-campus, kesho yake napita mitaa ya ubungo nikakutana na mtu kavaa jeans na shati kama langu, da ikabidi nimsogelee kwa ukaribu kuangalia vishikizo vya shati kwani kimoja kiling'oka nikashonea uzi wenye rangi tofauti, nikakuta ni lenyewe daah nikabaki nimesimama tu bila kujua pa kuanzia huku jamaa ndo huyo anakatiza Barabara.
Because it's funny indeed 🤣🤣🤣🤣🤣Cjui kwanini nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Sawa...Mwaka jana nashuka lift pale jengo flani hivi hapa Dar.
Umependeza chuchu heheheeeeeHuwa tunachekeana😃
Being women; we sometimes hug kabisaa na kusema umependezaaa nyonyooo
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB. Leo ngoja tujadili kidogo changamoto za maisha katika jamii tunamoishi.
Eti ndugu zangu Watanzania;
HUMAN BEHAVIORAL PSYCHOLOGY.
============
Ulishawahi kukutana na mtu ghafla (kwenye sherehe, daladala au njiani) aliyevaa nguo zinazofanana na za kwako? How did you react to it? mlipungia mkono, mlipeana tabasamu, mlimfuata kumsalimia au ulikwepesha macho?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
BIASHARA: Ninauza Vitabu Vya Kujifunzia Lugha Ya Kijerumani. Ich komme aus der Stadt Dar Es Salaam und verkaufe diese Deutsch-Lernbücher
GG and over2.5Kuna jamaa alinipa kaunda suti yake bure anayotokelezea ofisini akasema inambana. Siku mbili badae nikasikia kwa mshikaji eti jamaa kanipa suti baada ya kuniona eti nimevaa suti kama yake halafu nimekaa chini nasuka mkeka (nabeti). Jamaa hajui kama kazi yangu ni sawa tu na yake tofauti yeye anatumia elimu. Kwa hasira na mimi nikaigawa bure suti yake kwa muuza juice ya miwa. GG ikawa imetoa tayari.