***** akili yako waijua mwenyewe huna tofauti na Madenge..[emoji2][emoji28]
 
Kula kimasihara... Hivi nyie wengine hamjawahi Kuliwa kimasihara [emoji16][emoji16]
Tutahadisia basi ama tutaguna na kusonya kimya kimya Kama tulilazimishwa vile ama Kama Ni mtoa rikiboy alitubandua πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Kimasihara konki ni ile ya club yani hutokea tu bila sababu, haswa huwe umekunywa umelewa
 
[emoji28][emoji28][emoji28] hela aliyokuwa nayo ipo chini ya nusu ya nauli ya kwenda Iringa, alaf anaona ameonewa.

Hapo nimeassume tukio limetokea Dar. Ila kwa popote pale walipokuwa, upungufu wa 15k ni zaidi ya upungufu
Ni kweli alitokea dar. Najiuliza, inamaaana hakuwa akijua kabisa nauli ni kiasi gani? Na msimuliaji amesema kutoka stend hadi kwa dada wa binti ni 3000, maana yake kwenda na kurudi ni 6000. Akatoka akate tiketi, kisha arudi akalale huko kisha asubuhi arejee stend. Najiuliza umbali wa nauli ya 3000 kwa dar na muda wa kuripoti stand sipati picha.
 
Ulaaniwe wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…