Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Acha na mm leo nieleze mkasa wangu

2017 nilipopata ajira yangu ya kwanza nje dsm
nikafikia kwa bro wangu huko mkoani Singida
Kuna siku nilitoka mwenyewe tu kwenda pub kunywa bia nikakutana na bonge la pisi mrefu,mweupe ana tako dah aisee akili ikasimama nikasogea nimwombe kampan tukae wote akakataa nikarudi mezan kwangu nikaona isiwe kesi nikamuita muhudum nikampa msimbaz ampelekee heinken tatu kama anazokunywa dem akakataa ofa nikaona sio kesi,,,kuna mda akatoka nje kuongea na sim na mm nikaunga tela nje alivyomaliza tu mm huyu hapa nshafika mda namsubiri yy nikaanza kumuimbisha lakini wapi anakaza nikakata tamaa nikasepa zangu

basi ikawa naenda tu pale kile kiwanja maana huku mikoan sehem za bata chache sana so kukutana ni easy sana baadhi ya siku tunakutana lkn nikimpanga anazingua kinyama mpaka nikakubali kushindwa

Kuna siku nilikuwa na brother niliefikia kwake yy ameshaoa na ana watoto wakubwa tu but ana hela chafu...tukaenda nae pale akamuona dem akamuita akampanga akakubali (jamaa katika mji wale mataita na yy yumo kwa pesa) sikumwambia kitu kama nilikuwa namfukuziaga huyo dem

Kuanzia siku hio yule dem akawa shemeji yangu(mchepuko wa brother) so tukawa tunaenda nae sana viwanja ili kukwepa soo kwenye public ananitanguliza mm na yule dem ili yy asijulikane kama ndo anapiga maana ana familia so hata club mm ndo nacheza nae bro yy anagonga zake bia hana habari

kuna siku tulilewa sana bro akasema tumpite mchepuko wake kama kawa dem anaongea na bro huku ameniegemea siku hio nikasema potelea mbali nikapenyeza mkono kimya kimya nikamshika tako alitaka kushtuka but akatulia bro akageukia pembeni akawa anaongea na rafiki yake

dem akageukia kwangu nikaanza kumpanga namtania dah so bro anafaidi vyote hv huku namshika tako akawa anacheka tu hapo na yy keshalewa sana nikamwmabia niandikie namba yako fasta manz akaandika(dem hapo nyuma alishaninyima namba yake baada ya kuwa na bro nikasema sitaki namba yake nisije nikafanya ujinga nikaharibu undugu kisa demu)

alivyonipa tu nikajikausha bro baada ya mda bro akasema twende tumrudishe dem then anipeleke mm home yy arudi kwa wife

tukivyomshusha tu yule dem akarudisha na mm alivyosepa nikampandia hewani nikamwambia mm leo usingiz hautokuja kama vipi njoo kwangu dem akasema poah (alikuwa anapajua coz bro alikuwa anajulikana so hata kwenda guest kwake ilikuwa jau so akawa anamalizia kaz zake ghetto langu)

Ile kumsubir mashine imesimaama kama inakatka dem nimemwomba mda sana dah baada kuingia nikafunga milango hakukuwa hata ni story tukarukiana mate nikampeleka chumbani daah dem alikuwa mzuri yule mamaee sijaona nikasema leo hapa nauza mechi tu situmii ndomu

alinipa BJ matata sana kama nusu saa
nikaanza kupiga mashine ukichanganya na nyagi wazungu walikuwa wanachelewa kuja dem anakatika mpaka nahisi ataing'oa nikapiga kimoja tukahamia seblen kwenye sofa nataka nipige mbele akasema saa hv piga nyuma dem tako hilo nilivyopeleka tu
wazungu hao lile joto,,ikabda dem aniandae tena nipige la tatu atleast hili nilikaa mda kama la kwanza tukalala hoi

asubuhi tukaamka akaenda kuoga akaniita tuoge wote nikapige kingine bafuni(nyuma)

aisee ndo ukawa ndo mchezo japo nilijuta kwann niliuza mech tukaendelea kama mwez hv hapo niliapa sitokuja kupima tena maishani

but nilipata dem mkali nikaamua kutulia nilikuja kupima miezi kama 8 baada ya wife kuwa mjamzito ishu za klinik h

Yule dem alikuwa Mzuri,mtamu na fundi saa hv kaolewa ana watoto wawili mmewe amafaidi sana
Unasema 2017 ulipata ajira nje ya mkoa wa Dar, ndani ya huo mwaka ndio ulikutana na na huyo dem akawa anakuzingua nadhan hapo tayari mwaka 2017 ulikuwa katikati, hoja yangu ww tayar umeoa na yy ameolewa na amebahatika kupata watoto 2, kama sio chai ni nin ?
 
Inaendelea...

Nikarudi zangu Sinza mara nyingi nafikiaga Hotel za uko, maana ilikuwa Ijumaa nikaanza kupiga Tungi la hatari na Masela na kubadirisha viwanja, maana Dar, kila siku kuna Viwanja vipya vya pombe vinafunguliwa. Nilikuwa na mlupo wangu wa long time yaani full kugegedana Ijumaa, Jumamosi hadi Jumapili then nikamruhusu PISI isepe irudi chuo maana nilikuwa hoi bini taabani nikawa najipanga nisepe usiku nirudi Rock City.
Nimekaa Hoteli nisha check out nipo natoa lock na Ma Whisky yangu mara nikaona ujumbe kwenye Simu.... Nisharudi toka Zanzibar we uko wapi? Kucheki vizuri ni yule Client wangu... Nikasema hii PISI vipi si nishaikabidhi kazi yake kulikoni tena?

Nikareply.. najiandaa kusepa ... Akaniambia Njoo Masaki kwenye Apartment zao.. Nikamwambia naondoka na ndege ya jioni..
Akareply nitamwambia Sekretary afanye reschedule.. maana wao ndio huwa wananikatia tiketi na wananilipia Flight pia....

Nikaona pouwa sio ishu Mzee Baba, nipo na mahang over yangu nkachukua Uber mpaka Masaki, Nikafika Masaki ila huwa nafikaga nje tu na kusepa sijawahi ingia ndani....
Kufika Geti likafunguka Automatic maana hilo Apartment kuna Kamera wa ndani anakuona we umuoni na anaweza kukuliza wewe ni nani? kama hakufahamu kwa kutumia kipaza sauti ambacho kipo Getini...... maana kwenye hizo Apartment kuna Kamera za usalama ambazo zinaonyesha shughuli zote za nje zinazofanyika.

Kuna watu wanaishi sisi wengine tumekuja kucheza. Japo taaluma ya ujenzi ni fani yangu lakini lile Jumba vitu vilivyotumika katika ujenzi na umaridadi wa upambaji mle kwenye ule Mjengo sijawahi kuviona wala sijawahi kufundishwa chuoni Mzee Baba.
Akanipoke a akanipeleka Sitting room ina Bonge la Kaunta akanimbia unatumia nini?... Nikajikuta nimeropoka nichagulie Whisky yeyote nzuri....... akanimininia akaniletea ila kwa utaalamu wangu wa kupiga tungi na ile radha nikajua ni HENNESSY. Maana PRINCIPLE NUMBER ONE ya Mnywaji mjanja lazima ujue unakunywa Brand gani na ina alcohol ngapi ili uweze kupima kipimo unachotumia ile usije ukalewa ukapitiliza ukashangaa ushapasuliwa yai.

Katika Story mbili tatu.... akaniambia nataka leo unikadirie mimi na gharimu kiasi... Mzee Baba nikajua hii Pisi hiko serious inataka mgegedo, Mara Romance kwenye midomo, Shingoni na nikanawa sanaa ila Mzee Baba mpaka akapiga bao moja ila cha ajabu Abdallah wangu akusimama kabisaaa.. jaribu Mzee Baba wapiiii.

Yaani mimi na principle moja ya ajabu sana siwezi gonga PISI/Demu nyumbani kwake au kwao yaani huwa napataga woga wa ajabu hata kama nimelewa vipiii Abdalah hasimami kabisa.. Yaani najua linaweza tokea lolote kwa sababu wakati tuko Chuo mwaka wa Kwanza msela wangu alikatwa mapanga kwenye Gheto la demu hicho kitu mpaka leo kimeniathiri Kisaikolojia labda kama yupo Hotelini sawa.

Pisi akauliza kulikoni? Jogoo apandi mtungi au sivutii au sio type yako nikajaribu kumwelezea situation yangu muda mrefuuu akaelewa, mida ilikuwa imeenda sana akahamua kunirudisha Sinza kwenye Hotel niliyofikia mwanzoni vyumba vikawa vimejaa tukaenda Hotel fulani ya Ghorofa karibu na Mugabe P/school nikabahatika kupata room nikamkaribisha karibu upaone room japo sisi tunaona papo Classic nadhani kwa level yake kama Changanikeni tu.

Alivyoingia nikambeleza anywe ata Glass moja ya Wine kupunguza jaziba ya maswaibu yaliyotokea akakubali, nikapiga simu reception akaleta Wine na Bapa ndogo ya Whisky mara romance za kufa mtu, mara BJ ya kutosha Mzee Baba Abdallah akishafika uwanja wa nyumbani hana hiana nilipiga Show Heavy Heavy maana nilifululiza weekend nzima kugegedana , basi bao kutoka ilikuwa ishu ukijumrisha na mi Whisky niliyotupia mpaka PISI ikaomba poo. Siku sijui ilikuwa mashindano maana nayo PISI ilikuwa ina shoo ya kibabe tena kila Style yumo kama mtoto wa Kingoni. Kuhamaki asubuii saa tatu PISI ikakomaa ni baki Dar nikagoma ikabembeleza wapi mchana nikarudi Rock City.

Yaani ikawa mchezo wetu ata kama hana kazi lazima kila week nije Dar nigonge nisepe.... Ila kwa sasa wamefungua tawi South so kuonana imekuwa nadraaa....
Hii ilishawahi nikutaga jogoo kugoma sababu ya location. Yule demu alinigomea km miezi mi3 hivi.... Na maneno ya shombo kiaina.

Siku nkamwotea aisee ilikua moja ya siku niliyopiga show ya uhakika... Baada ya hapo nkamtema mazima.... Sitaki dharau
 
Wakati kila mtu alidhani yupo peke yake, na baadae mkadhani mpo pekee yenu wawili

Kumbe kuna Co worker mwingine alikuwepo na alicheki x ya live kimasihara bila nyie kujua...... Nduki
 
Wakati kila mtu alidhani yupo peke yake, na baadae mkadhani mpo pekee yenu wawili

Kumbe kuna Co worker mwingine alikuwepo na alicheki x ya live kimasihara bila nyie kujua...... Nduki
Na ndiyo masihara yenyewe sasa! Kila kitu kimasihara
 
Umesema muhimbili..muhimbili nini hospitali au chuo..be specific..na uache kuleta dharau za kijinga..heshimu sana Muhas na products zake.
Kama na wewe umesoma kweli muhas na umesoma hujaiona hapo kwenye post yangu basi muhas ckuhz inazalisha product za ajabu sana....nimekosea sana kuiweka kwenye list kama product zinazotoka hapo ckuhz ndo kama wewe
 
kuna manzi nliwah kumtokea ila akanichapa za uso.! ameniahidi atanipa zawadi siku 1 kabla cjarudi chuo mana until now bado niko kitaa, sa cjui ni zawadi gani. hv ikiwa ni K, hy nayo itakuwa nmekula kimasihara au.?
 
Na usithubutu kujaribu Mkuu maana utaishia kuwa Mwanachama hai.

Hamna ushetani wowote dhambi Zote ni Sawa..anayezini na anayefira moto Mmoja tu..kama hyo moto upo lkn
Mimi siamini kama kuna moto wa milele wala hamna adhabu yoyote... Lkn hadi nitakapoingia kaburini sitafira hata kwa bahati mbaya.
 
Umesema muhimbili..muhimbili nini hospitali au chuo..be specific..na uache kuleta dharau za kijinga..heshimu sana Muhas na products zake.
Kwa akili zako nilivyotaja sua,udsm,ardhi,muhimbili ulijua muhimbili namaanisha nini??acha kujibaraguza wakati uliingia chaka bila kusoma vizuri...narudia tena kama product za muhimbili ckuhz ndo kama wewe basi nilikosea sana kuiweka muhimbili kwenye list
 
Kwa akili zako nilivyotaja sua,udsm,ardhi,muhimbili ulijua muhimbili namaanisha nini??acha kujibaraguza wakati uliingia chaka bila kusoma vizuri...narudia tena kama product za muhimbili ckuhz ndo kama wewe basi nilikosea sana kuiweka muhimbili kwenye list
Hasituaribie Muhas yetu
 
Back
Top Bottom