Tunawaza sana ngono kuliko mambo ya maendeleo

"Hauwezi kulikomboa taifa ikiwa vijana wenye nguvu wanawaza ngono pombe na starehe" akaondoka zake Congo ile Zaire ya zamani
Wazazi wako wasingefanya ngono usingezaliwa. Kuna mada nyingi tu humu za maendeleo wadau wanashiriki Kwenye mijadala na wanatoa positive ideas.

So kuwa mpole ukiona wimbo hauuelewi ujue haujaimbwa kwa ajili yako.
 
Braza wako mshikaji sana[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji122][emoji375]
 
jamaa akaamua awapotezee wote maaana nyie ni masnitch...mwana yuko selo nyie mnapigana pumbu..tena jamaa katuma nauli...aiseee hongera zako..ila nduo maana watu huwa wanaishi na gunia za mkaa kwa mambo kama haya..
hakika mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23] mwenye uzi wa kimasihara kapigwa za uso kimasihara na beki tatu akaondoka nyumbani kimasihara [emoji23][emoji23]
 
Kimasihara ukaanza kupangiwa zamu za kuosha vyombo na kupiga deki [emoji23][emoji23]

Tena wakati mwingine unajitolea tu maana umeyasababisha[emoji23]
 
Leo nimecheka haswa! Dili limebumburuka dah nomaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikaa kwa mda gani hapo
 
NILIVYOMLA KIMASIHARA ASKARI WA KIKE WA IDDY AMIN KATIKA VITA NA UGANDA ...
Mm sio muhadithiaj mzur lakin nitaeleza tukio livyokuwa kidgo stay narudi.....
Acha uongo kijana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]iliwah kunikuta siku moja beki 3 wa broo kanitukana mbele ya mafundi home aisee nlijuta
 
Kimasihara ukakosa tunda

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…