Ni Muhasibu wa Taasisi moja ya Serikali.
Alipandia Dodoma, akashukia Moro
Mimi nakuja Dar.
Mke wa mtu ana watoto watatu, Mumewe Yuko Mkoani Kikazi
[emoji117]Nitakua siwabishii wakuu
Maana nyie, mnaona wanawake ni km viumbe walotoka juu mbingun kwa baba[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba ni wakipekee sanaaaaa haoo yaan watakatifu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa hamna kituuu
Tena bora ambao hawajaolewa anaweza akakuzungushaa sanaaaaa
MWANAMKE WA KILEO KAMA SIO.MCHA MUNGU NA HOFU YA MUNGU...KUA NA MCHEPUKO KWAO NI SHERIAAAAAA.
endeleen kua na maubishi.
Ila ukiwajuli
View attachment 1785593View attachment 1785594View attachment 1785595