Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mimi mzima,namshukuru Mungu .Dear Anne, ni muda mrefu bila kukuona humu , naamini uko poa kabisa mdada .
Vipi unaendeleaje ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanajifanyaga sana hawaMwisho wa siku italiwa na mchea, maisha haya!
Joke[emoji23][emoji23][emoji23]
ulitumia kinga?Hellow Guyz,
Nimewahi kupata experience ya matukio mawili ambayo yalinipa maana halisi ya "UNEXPECTED SEX" . Tukio la kwanza lilitokea mwaka 2009 ambapo nilipanda basi nikielekea Tabora kwenda kumuona ndugu yangu wilayani Uyui lakini ndani ya gari nilikutana n mdada ambaye she was 25 by then.
Na baada ya stori mbili tatu tukafahamiana na tuliposhuka stend nikamwambia mi nitalala hapa town then asubuhi niende wilayani nikaamua kumjaribu kwa kumuomba tulale wote she didn't mind it at all.
Kilichofuata ilikua ni shoo ya kufa mtu ambayo I never had it before na ilipofika asubuhi tukaagana na hatukuwahi kuwasiliana tena till now.
Tukio la pili limetokea last year kipindi cha mwezi wa february;S hemeji yangu mmoja alikuja kuleta mzigo wa kaka yangu sasa cha ajabu alipoingia ndani mvua ikaanza kunyesha kwa nguvu mpaka nikaamua kufunga milango.
Baada ya hapo nikakaa na shemeji na baada ya stori mbili tatu nikaona ananiambia "shem cku hizi unaonekana mrefu",nilipomuuliza kwanini akaniambia naona kama unanizidi vile.
Ndipo tulipoaamua kupima kwa kusimama huku yeye akiwa mbele yangu na niliposhika her WAIST nikaona anavuta mikano basi ikabidi nimpe mamboz na mvua ilipoisha akaondoka and we never did it again coz it was a good sex to a wrong person.
Sasa wanajamvi naomba kupata experiences zenu katika hili.
Nani amewahi kufanya mapenzi kwa bahati mbaya? And how did it happen?
Na kuna ukweli wowote kwamba UNEXPECTED SEX NI TAMU ZAIDI KULIKO ILE INAYOKUA PLANNED?
Ndio maana nakukubali. Huwa unanionyesha upande ambao mimi siuoni.Mimi mzima,namshukuru Mungu .
Naona visa vyako humu upo kujisifu aisee,nikaishia kusikitika kwa jinsi unavyojitomtumikia shetanu[emoji16].
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya Gwaji-boy ilikuwa sekunde 9 jamaa kishakojoooooowaAy gwajima na frola hahaha kali hiyo
Ukitaka shetani ashindwe ni lazima umkatae yeye na kazi zake na mambo yake yote.Ndio maana nakukubali. Huwa unanionyesha upande ambao mimi siuoni.
Shetan ashindwee kabisa.
Uzi wa wazinzi.
Nawakumbusha tu!
Hayo yote ni ubatili na kujilisha upepo.
Siyo maneno yangu,ni maneno ya Suleiman.
Sent using Jamii Forums mobile app
tunakumbushiana wanaume walivyotufanya ili tujifunze tuacheTulia mtakatifu, tulia kabisa hapo ulipo[emoji23] maisha yafaa nini bila kula utamu mama!![emoji23][emoji23][emoji23]
Uaminifu sifa ya Yusufu ,kwanini nimkosee Mungu?Tulia mtakatifu, tulia kabisa hapo ulipo[emoji23] maisha yafaa nini bila kula utamu mama!![emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kuacha jamani,[emoji23] unaacha ili ufanye nini sasa?tunakumbushiana wanaume walivyotufanya ili tujifunze tuache
Ndio sababu kwasasa napambana nimkatae shetan na visa vyakeeeUkitaka shetani ashindwe ni lazima umkatae yeye na kazi zake na mambo yake yote.
Yaani kwa hivi visa wewe upo kwenye ngazi za juu kabisa kwenye sekta ya uzinzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uaminifu sifa ya Yusufu ,kwanini nimkosee Mungu?
Nimkosee Mungu muumbaji wangu kwa raha kitambo tu!
Hakuna raha kama kuomba na maisha yafaa sana ukiwa na connection na Mungu ..vibe lake siwezi kuluelezea ila ukitaka kulijua jaribu.
Aisee humu ndani kuna watu wangepewa vyeti kabisa vya uzinzi wawe certified[emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
utakuwa na sehemu pana kama punda , cheza kwa stepHakuna kuacha jamani,[emoji23] unaacha ili ufanye nini sasa?
Mungu akusaidie.Ndio sababu kwasasa napambana nimkatae shetan na visa vyakeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pana kama punda!utakuwa na sehemu pana kama punda , cheza kwa step
Ukuta nikauona kwa wanawake wenye kumcha Mungu na Hofu ya Mungu kwelikweli.Mungu akusaidie.
Neema ya Mungu bado ipo,huo upande uliouchagua ni mbaya.
Neema inatufundisha kuukata ubaya,jitahidi kuzingatia hilo.
Halafu unajisifu kabisa eti hakuna anayeweza kuchomoa aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyohuyo Suleiman alikuja kugundua kama mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo.Nijaribu nini mtakatifu?[emoji23] Hivi Yusuf unampata wapi leo dunia hii, ningekuwa Yusuf ningemtandika yule mwanamke asinichezee mimi, mtu anakuletea utamu unamuachaje kizembe namna ile...ona Daudi alichofanya, kataka kula utam kaona amtangulize mwenzake ili ampunyue yule mama vizuri. Suleiman alifaidi mema ya nchi na bado tunamsoma kila siku, mimi ni nani eti nisijaribu kula mema ya nchi.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa nitakuombea kwa Mungu.Ukuta nikauona kwa wanawake wenye kumcha Mungu na Hofu ya Mungu kwelikweli.
Tuombeane Dear.
Mwisho wa siku italiwa na mchea, maisha haya!
Joke[emoji23][emoji23][emoji23]