Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mwisho wa siku italiwa na mchea, maisha haya!

Joke[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanajifanyaga sana hawa

Yaaan unaweza sema anaongea Malaika wa Wema na ubaya


Hamna kila kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hellow Guyz,

Nimewahi kupata experience ya matukio mawili ambayo yalinipa maana halisi ya "UNEXPECTED SEX" . Tukio la kwanza lilitokea mwaka 2009 ambapo nilipanda basi nikielekea Tabora kwenda kumuona ndugu yangu wilayani Uyui lakini ndani ya gari nilikutana n mdada ambaye she was 25 by then.

Na baada ya stori mbili tatu tukafahamiana na tuliposhuka stend nikamwambia mi nitalala hapa town then asubuhi niende wilayani nikaamua kumjaribu kwa kumuomba tulale wote she didn't mind it at all.

Kilichofuata ilikua ni shoo ya kufa mtu ambayo I never had it before na ilipofika asubuhi tukaagana na hatukuwahi kuwasiliana tena till now.

Tukio la pili limetokea last year kipindi cha mwezi wa february;S hemeji yangu mmoja alikuja kuleta mzigo wa kaka yangu sasa cha ajabu alipoingia ndani mvua ikaanza kunyesha kwa nguvu mpaka nikaamua kufunga milango.

Baada ya hapo nikakaa na shemeji na baada ya stori mbili tatu nikaona ananiambia "shem cku hizi unaonekana mrefu",nilipomuuliza kwanini akaniambia naona kama unanizidi vile.

Ndipo tulipoaamua kupima kwa kusimama huku yeye akiwa mbele yangu na niliposhika her WAIST nikaona anavuta mikano basi ikabidi nimpe mamboz na mvua ilipoisha akaondoka and we never did it again coz it was a good sex to a wrong person.

Sasa wanajamvi naomba kupata experiences zenu katika hili.

Nani amewahi kufanya mapenzi kwa bahati mbaya? And how did it happen?

Na kuna ukweli wowote kwamba UNEXPECTED SEX NI TAMU ZAIDI KULIKO ILE INAYOKUA PLANNED?
ulitumia kinga?
Unajua yai ndio lilikuwa linapevuka, hapo genye zipo juu balaa na anawashwa, jamani acheni kabisaaa,unaeza mpa tunda hata kichaa barabarani mradi tu ukunwe.
 
Tulia mtakatifu, tulia kabisa hapo ulipo[emoji23] maisha yafaa nini bila kula utamu mama!![emoji23][emoji23][emoji23]
Uaminifu sifa ya Yusufu ,kwanini nimkosee Mungu?
Nimkosee Mungu muumbaji wangu kwa raha kitambo tu!


Hakuna raha kama kuomba na maisha yafaa sana ukiwa na connection na Mungu ..vibe lake siwezi kulielezea ila ukitaka kulijua jaribu.



Aisee humu ndani kuna watu wangepewa vyeti kabisa vya uzinzi wawe certified[emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uaminifu sifa ya Yusufu ,kwanini nimkosee Mungu?
Nimkosee Mungu muumbaji wangu kwa raha kitambo tu!


Hakuna raha kama kuomba na maisha yafaa sana ukiwa na connection na Mungu ..vibe lake siwezi kuluelezea ila ukitaka kulijua jaribu.



Aisee humu ndani kuna watu wangepewa vyeti kabisa vya uzinzi wawe certified[emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app

Nijaribu nini mtakatifu?[emoji23] Hivi Yusuf unampata wapi leo dunia hii, ningekuwa Yusuf ningemtandika yule mwanamke asinichezee mimi, mtu anakuletea utamu unamuachaje kizembe namna ile...ona Daudi alichofanya, kataka kula utam kaona amtangulize mwenzake ili ampunyue yule mama vizuri. Suleiman alifaidi mema ya nchi na bado tunamsoma kila siku, mimi ni nani eti nisijaribu kula mema ya nchi.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio sababu kwasasa napambana nimkatae shetan na visa vyakeee
Mungu akusaidie.

Neema ya Mungu bado ipo,huo upande uliouchagua ni mbaya.
Neema inatufundisha kuukata ubaya,jitahidi kuzingatia hilo.


Halafu unajisifu kabisa eti hakuna anayeweza kuchomoa aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu akusaidie.

Neema ya Mungu bado ipo,huo upande uliouchagua ni mbaya.
Neema inatufundisha kuukata ubaya,jitahidi kuzingatia hilo.


Halafu unajisifu kabisa eti hakuna anayeweza kuchomoa aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
Ukuta nikauona kwa wanawake wenye kumcha Mungu na Hofu ya Mungu kwelikweli.


Tuombeane Dear.
 
Nijaribu nini mtakatifu?[emoji23] Hivi Yusuf unampata wapi leo dunia hii, ningekuwa Yusuf ningemtandika yule mwanamke asinichezee mimi, mtu anakuletea utamu unamuachaje kizembe namna ile...ona Daudi alichofanya, kataka kula utam kaona amtangulize mwenzake ili ampunyue yule mama vizuri. Suleiman alifaidi mema ya nchi na bado tunamsoma kila siku, mimi ni nani eti nisijaribu kula mema ya nchi.[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyohuyo Suleiman alikuja kugundua kama mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo.

Msimtumie Suleiman kama reference ya kufanya dhambi... yeye alishatubu,
Ukifwata nyayo zake huwezi jua wewe utaishia wapi..kila mtu ana neema yake.

Unauliza Yusuph utampata wapi dunia ya leo??
Badala ya kuuliza utampata wapi ,chukua hatua Anza wewe kuwa Yusuph[emoji4]
Right is right even if no one is doing it.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom