Funguka banaaaa lol!!! more details please!!!!

 

hongera sana umejua ulikuwa upuuzi na umeacha. ni vzr unaiheshimu familia yako.
 
Wewe si ulinikimbia bana, miaka 14 yote ningeweza kukaa bure kweli? Lakini si uatanajua mzee wa boma hapigi hodi bomani kwake? Ni kushika mkono na kupiga shoo moja ya kimataifa kama ile hahahaaaa!!

dah shoo kimataifa

asa si utaharibu kwa ywf wako atakushtukia bana

hahaha umenichekesha eti mzee wa boma hapigi hodi bomani kwake
 

wacha wee kichuma mboga hv inakwaje nasikiaga tu humu jf
 
kuna dada huyu alikuwa anatembea maeneo ya ubungo kabla barabara hazijaharibiwa. Bwana ee yule dada akateleza si akaangukia dushe kwa bahati mbaya bila kutegemea sasa hivi analea mtoto ambaye hana baba

umetisha bro
 
hongera sana umejua ulikuwa upuuzi na umeacha. ni vzr unaiheshimu familia yako.
Mlupembe usimuamini hata mara moja!Mara leo aseme ni Mwanamke kesho aseme ni Mwanamme!

Jinsia ya jamaa/dada huyu ni tata sana kwa kweli
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…