Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Funguka banaaaa lol!!! more details please!!!!

Hii niliponea chupu chupu.

Ni miaka 2013 mwanzoni nilikuwa naenda shamba huko mafinga nikitokea dar.

Tulipofika mahali kabla ya chalinze gari ikaharibika. Tukashuka garini kwenda kungojea waamue tutakavyosafiri.

Kukawa na waauza chai na mihogo ng'ambo ya pili ya road.

Ndo nikakutana na mwanaume mmoja. Kweli tuliongea sana. Baada ya gari kutengemaa akanihamisha siti nikakaa naye karibu na mlango wa dereva. Duuu kule garini ni kama tulikosa hata pumzi yaani was zero distance.

Mzee akasema anafanya kazi kwa pilato. Nikapata mshtuko wa kwanza nikajua huwa hawakosi pisto kiunoni hawa loooh i may die today .... ooh my God.

Tuliendelea na safari yetu. Kweli alijitahidi kuweka mazingira ya kwenda kulala wote kituo kimoja baada ya mafinga mjini. Na mimi kwa kuona kuwa pale tumeshakolea kila mmoja na hamu nilikubali. Wakati wa kula tuko beneti mmmh.

Tulipofika mafinga mjini nikambonyeza koda wa ile basi nikashuka kama naenda kukojoa na safari yangu ikaishia pale.

Hata hivyo najua that man ni mwana jf pengine anasoma hapa.

But ukweli nilijiofia maisha yangu halafu nilikuwa na some cash money nikajua sitakuwa Salama but ...

Kisa cha pili was miaka ya 90s na mjeshi mmoja mkoani mbeya............. i'll be back.
 
Dah inshantokea mara mbili moja mtwara 2005nlikuwa natafuta eneo analokaa mwenyeji wangu , ligula me natoka dar mida sambili hv usiku nikamkuta binti aanaanua nguo si nkamuuliza , akaniambia ni mbali kidogo ngoja anipeleke , kufika eneo la rahaleo kuna kagiza nikajikuta nampa mkono ili turuke daraja , ile ameruka akanifikia mwilini me fasta nikampelekea ulimi mdomoni ,kaishiwa nikimgegeda mtaroni akanionyesha mtaa wenyewe ! Mpaka leo simkumbeki.. Wapili 2009 dar natoka hom nakatiza shule ya karume si nkamkuta bintianazinguliwa na wamasai me nkizuga kumtetea wakamuacha nkamshika kiuno wajue ni dem wangu , kufika ccm gereji nikamsimamisha kujifanya namuuluzauliza punde nikamuinamisha chuma mboga nkaua.. Ila ilikuwa upuuzi sasa nna familia nshaacha

hongera sana umejua ulikuwa upuuzi na umeacha. ni vzr unaiheshimu familia yako.
 
Wewe si ulinikimbia bana, miaka 14 yote ningeweza kukaa bure kweli? Lakini si uatanajua mzee wa boma hapigi hodi bomani kwake? Ni kushika mkono na kupiga shoo moja ya kimataifa kama ile hahahaaaa!!

dah shoo kimataifa

asa si utaharibu kwa ywf wako atakushtukia bana

hahaha umenichekesha eti mzee wa boma hapigi hodi bomani kwake
 
Dah inshantokea mara mbili moja mtwara 2005nlikuwa natafuta eneo analokaa mwenyeji wangu , ligula me natoka dar mida sambili hv usiku nikamkuta binti aanaanua nguo si nkamuuliza , akaniambia ni mbali kidogo ngoja anipeleke , kufika eneo la rahaleo kuna kagiza nikajikuta nampa mkono ili turuke daraja , ile ameruka akanifikia mwilini me fasta nikampelekea ulimi mdomoni ,kaishiwa nikimgegeda mtaroni akanionyesha mtaa wenyewe ! Mpaka leo simkumbeki.. Wapili 2009 dar natoka hom nakatiza shule ya karume si nkamkuta bintianazinguliwa na wamasai me nkizuga kumtetea wakamuacha nkamshika kiuno wajue ni dem wangu , kufika ccm gereji nikamsimamisha kujifanya namuuluzauliza punde nikamuinamisha chuma mboga nkaua.. Ila ilikuwa upuuzi sasa nna familia nshaacha

wacha wee kichuma mboga hv inakwaje nasikiaga tu humu jf
 
Back
Top Bottom