Hatutumii Laini Zote Mkuu.

Stay Away.
 
Doooh [emoji23][emoji119], kudaaadeki walahii.
 
Tuwasaidie kufungua nini mkuu?
 
Huyu jamaa ni jau mpak ananikosha na majibu yake....

Ongeza spidi maana unatoa kaburudan flan
Tuliza munkari dogo ..tafuta hela maskini mkubwa wewe, hamna hela mmekaa kusifu ngono kiholela
 
Mmmmh man umeuza mechi kifala hadi umemchubua demu

Kwa staili hi tutasalimika kweli .

Mi ndio maaana nashauri mabaharia mtembee na domu tena siku hizi Kuna ndomu za kisasa zile zimo kwenye vipakiti vidogo sio kama hizi za salama na dume
 
hahahqhqha we jamaa mwongo sana hahahahaha nimecheka hapo unapo sema kimoyo moyo 'we mzee leo natafuna mtoto wa dadako'
 
Mfilaji mkubwa
 
Hilo limenishangaza pia.
Labda wameona uzi umepata wapenzi kuliko mambo yao ya kisiasa.
Watuache sisi na maisha yetu halisi na wao wabaki na maisha ya kufikirika na siasa zao.
Wanaharakati na wanasiasa huwa wanaona maisha ni siasa na harakati tu.
Yap kila mtu ajikite jukwaa linalompendeza la sivyo waondoe jukwaa la mapenzi
 
We jamaa hii chai
 
achana naye mkuu haihitaji kuprove kikubwa tumepata story
 
propaganda hizo za siku ya ukimwi duniani tar 1
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]HIIIIIII CHAAAAAAAAAAAI JAMAAAAAANI..![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Watu wengine mnachekesha ina maana hapo ulipo hujui wali unapikwaje? Nafikiri ulikuwa umeshaiva so ulikuwa umepapaliwa.
Kasome vizuri utaelewa tu, jamaa kadai mboga ndio ilikuwa imeivishwa arafu wali ulikuwa ndio kauweka jikoni, kisha demu akaenda kwa mshikaji na hakuna kisha walaanza romance na tunda kuliwa..hapa sioni sehemu aliyo elezea kuwa demu alipata upenyo wa kwenda kugeuza ama kushusha kile chakula!
 
Jamaa anabisha vitu vya kifalaa sanaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwani wali ili uivee unahitaji miguu ya watu au??? Ukute demu alizima tu gas chap game ikaendeleaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dyudyu ikiwanogea oohoo
Usiseme ufala wakati nimeuliza ili kujua, jamaa hajaeleza kile chakula kilishushwa saa ngapi ili hali walianza show na kupunzika saa6 na kuanza kula msosi mda huo huo, sasa huo wali waliula umeshakuwa mkaa ama???
 
Labda tujue wali kapikia kutumia nini. Maana unaweza kuta ilikuwa kwenye rice cooker huitaji kugeuza.
Me nilivyomuelewa ni kuwa alipika wali then akauacha jikoni mengine yakafuata na ni swala la kawaida.
 
hahahqhqha we jamaa mwongo sana hahahahaha nimecheka hapo unapo sema kimoyo moyo 'we mzee leo natafuna mtoto wa dadako'
Inaonekana ni kweli maana huyu jamaa sjui amejiamini vipi kutaja majina ya wahusika [emoji23][emoji23]bangi mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…