kwa Mara ya kwanza nilipouona huu Uzi niliupuuza kwa kujua ni vijana wanaoanza Balehe na Aina Kama hiyo...........Lakini ninapoona Uzi huu unazidi kupampiwa zaidi nimeona niseme neno japo kidogo

Ngono nyingi zisizotarajiwa eitha kwa upande mmoja au pande zote huleta madhara na sononeko baadae kwa upande mmoja au pande zote........

Kuna Binti mmoja na genge lake la wuza ngono wameanzisha mbinu mpya ya kuwapata Wateja kwa kujifanya wao ni wageni ambao si wazoefu na Mji husika mfano Dar Es salaam sasa wanachofanya ni kuwawinda Mkaka yeyote wanaemuona ni windo Zuri ndipo huelezwa kwa kuombwa Msaada wa kuwa yeye ni Mgeni ametokea mfano Tanga na anakwenda Magomeni kwa Dada yake hivyo amejikuta yupo hapo Tazara na atakueleza amechoka sana kutembea kutoka Ubungo na atakueleza ana simu ambayo ina namba ya Dada yake ingawa simu yake haina salio.....

Ukimuangalia kwa jicho LA Kingono udenda utakutoka...... Hebu niishiae hapa kwa sasa ili nisiwachoshe nitaendelea baadae uone jinsi unavyotegwa.......
 
HAHAHA...wewe masikini tu dogo ...piga kimya huna hela fukara wewe halafu unafanya ngono zembe ...
Inakuuma nini, kwani huna ndugu zako wa kuwasihi, unanzaaje mwanaume mzima kukomaa na IDs fake tena kwa watu usio wajua,

#mkuu kachezee uliko nyea jana, uzi wetu pendwa unaotutolea stress embu achana nao kabisa[emoji51]
 
...ila mabaharia Toto la kibantu PATIGOO linavutia kwelikweli na lile tako lake kama sanchii halafu lilivyona maksudi linajipitisha kwenye Uzi wetu linatingisha hivi linatutakia nini mabaharia eti tulifanyaje ?
Lile kimasihara mkuu
 
Hivi UTI ni moja kati ya STD's???
 
Mzee baba.... UTI siyo STD, Uti hata mtu ambaye hajawahi kusex anaipata vzr kabisa...

Unaipata as far as upo subjected na bacteria. Tena hao bacteria wanapatika kwenye mwili wako mwenyewe...

Pia mwanamke anaweza kupata UTI kwa urahisi zaidi ukilinganisha na sisi wanaume sababu wao urethra yao ni fupi sana hivyo kupelekea Bacteria kusafiri kwa urahisi zaidi kutoka kwenye K zao hadi kwenye Bladder....

Huwa nafikiria sana kwamba huenda dame wangu aliniacha kwa kufikiria nmemuambukiza UTI...
 
Hahahah... hata mimi niliona chakula kipo motoni mara watu wamekulana hadi saa 6 usiku... labda walilishana mikaa
 
Wazungu wanatucheka kuwa akili zetu zimejikita katika kula tunda tu.
 
Huko nyuma sijui mnakupendea nini... mnakusanya tu UTI for no reason...
 
WAKUU VIPI MBONA MNAPOTEZA NGUVU NYINGI KUBISHANA NA HUYO TAHIRA MMOJA.!WAKATI KUNA OPTION YA KUM BLOCK/IGNORE ..... BASI KAZI KWISHA TUNA ENDELEA NA STORY ZETU ZA KIJIWENI.HUO NDIYO USTAARABU MAKINI.ACHA KUPOTEZA NGUVU NYINGI KUBISHANA NA KICHAA ASIE STAARABIKA.
 
dah mkuu umenikumbusha
 
Mzee ilikula Tx new
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…