UNAIVA, na vp kuhusu ule moto ulikosa waangalizi? kwa namna yeyote ile kazima uunguze msosi!
Kumbuka kuna rice cooker (sufuria flan hivi la umeme) yan ukiweka mchele na kila kitu bas we funika nenda katembee utakuta wali umeiva tena fresh tu.
 
We jamaa unatuchosha na magazeti yako, unatuharibia Uzi wetu kila mara na takataka zako hili siyo jukwaa la hizo, peleka JF doctors huko.
 
Wazungu wanatucheka kuwa akili zetu zimejikita katika kula tunda tu.
Dogo unajaribu kusema nini? umekielewa ulichoandika? Kwan umeitwa hapa? Kuna aliyekulazimisha usome na ucomment?.

Achana na huu Uzi wa mabaharia wa kufungia mwaka. Nenda jukwaa la dini huko
 
Mdau ushafeli

Mwanzo umesema jina kapuni halafu baadae umemtaja jina live kabisa tena mawili hujamfanyia fair

Edit comment yako kabla mod hawajaleta unoko humu maana Wana unoko Sana siku hizi

hilo jina bado ni kapuni si halisi
 
Pole sana dogo fukara, huna hela maskini bado unatukana nyuma ya keyboard
Pole sana mdogo wangu,
We nawe dishi limeyumba

Hivi kitu gani kinakuwasha maana umeshupalia mambo kana kwamba una share zako Hapa hahahaha

We mwenye unatukana watu nyuma ya keyboard unawaita mafukara wakati hujui status zao kiuchumi .

Usikute unakula kwa baba na mama au shemeji hapo halafu unaleta dharau za kijinga

Badala kushauri kwa utulivu ,kimantiki unatanguliza kejeli badala kutufanya sisi tujisikie vibaya wewe ndio unaoneka mburulula,dunderhead , bullshit,jack ass and idiot [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Usiniqoute tafadhali [emoji41]
 
***** watu mnakosoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]wazee wa self tunataka picha halisi na siyo zisizo na evidence, hatupendagi kuupa kazi ubongo kutafakari sana..[emoji23][emoji23]
 
Usijaribu kusoma ukiwa kwenye daladala au ofisi ya watu wengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Utaingia aibuuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila mungu ni fundi sana
 
Yamenishinda...ngoja na mm nieleze kisa cha kumla DEMU WA MSHKAJI WANGU KIMASIHARA TU

Mm na mshakj wangu tulikuwa tunafanya kazi mkoani 2012, na tulikuwa tumepanga nyumba moja..Sasa siku moja jamaa akaamua kumleta demu wake huku mkoani(demu wake alikuwa ni mwanafunzi wa mwaka wa pili UD)

Demu wake alikuwa pini moja matata sana..pini kwel kwel...alikaa kama siku 3 hivi akarudi zake chuo

Sasa baada ya mwezi yule rafiki yangu akapata uhamisho wa kwenda DAR..Dar hakuwa na sehemu ya kuishi...so akataka afikie kwa dada yake wkt akipanga mipango ya kutafuta nyumba ya kupanga

Sasa mm nikapata wazo...nikamshauri afikie kwangu kwani mm dar nna nyumba(ya uridhi) ambayo nilikuwa nimeifunga tu,hakai mtu na ipo karibu kabisa na kituo cha kazi alichohamishiwa,akakubali

Kufika na dar,yule demu akawa anatoka chuo anashinda sana na jamaa...wkt mwngne anaamkia pale kwenda chuo(wkt wote huo mm sina mazoea nae kbsa)

Sasa siku moja nipo zangu ghetto naona namba mpya inaingia kupokea ni yule manzi wa jamaa(kumbe no kapewa na mshakaji anichek)

Baada ya kupokea ananambia umeme umezingua tangu jana yake na mshkaji kampa no yangu anichek kwan yeye atakuwa bize kazin...so nimsaidie kumtafutia fundi...basi nikamtafutia fundi akaja akatatua tatizo siku ikaisha

Ikapita kama miezi 3 hvi nikapata likizo nikaenda Dar,nikafikia pale pale kwangu...so demu akawa siku akitoka chuo anakuja anatupikia analala anasepa zake(mazoea yakaanza)

Baada ya kama wiki 3 hv,jamaa akapata safari kikazi kwenda mkoani huko..so nikabak ghetto alone...sasa siku moja mida kama ya sa 9 nipo zangu nachek muvi ghafla manzi huyu hapa..nikamuuliza vp,mbona ghafla ghafla hata simu hakuna?akajibu amekuja tu kuchukua vitu vyake mara moja

Nikamzingua tu kuwa sijala toka asubuh,anikalangizie tule then asepe,akakubali..akaingia jikon..kapika kamaliza tukala,zikaanza stori stori sa 2 usiku hii hapa...akaomba akaoge then nimsindikize,nikamwambia poa

Baada ya kuoga akabadili nguo bhana(hapo ndo msala ulipoanza)alivaa kagauni flan hv amaizing sana,kafupi hv kakamtoa sexy balaa(mzee mzima tamaa zikanikamata)nikamsifia pale akacheka n

Sasa kwa vile ilikuwa mida ishaenda nikaona si mbaya nikampeleka(nna kausafiri kangu)kuingia kwenye gari alivyokaa kale kagaun kakapanda juu bhana,paja lote hili hapa

Nikawasha taa ya gar ya ndani(sikumbuk hata nilikuwa nataka kufanya nn bhana)ndo nikaliona paja vzr aisee...mtoto alikuwa sexy,mapaja malaini meupe hatar(ugonjwa wangu)

Nikameza mate pale nikamzingua tu kiutani,"shem siku nyngne usivae hv bhana,utasabaisha nipate ajali bure"akacheka sana

Sasa tupo njian na folen za dar zilivyo tukaanza kupiga stori za hapa na pale...akaniuliza mbona hajawahi kuniona na demu wala kusikia habari za demu wangu....nikamzngua tu mi sina demu...natafuta pisi kali kama yeye,pisi za kawaida siziwez,hazinip mzuka kabsa

Akaniambia,kwa hyo mm nimekupa mzuka? nikamjibu kiutani tu "vbya mno nataman hata nikuparamie hapa" huku nacheka

Demu akafurah...nikamfikisha mabibo hostel nikaamsha zangu...Kesho yake ilikuwa jumamosi,mida kama ya sa 4 hvi nipo zangu ghetto nasikia mlango unagongwa,kwenda kufungua pisi hii hapa,alafu imevaa kagauni(si kale ka jana)kingine ila kimemkaa vzr hatar

Akaingia ndan akaa kwenye kochi,namuuliza vp,akanijibu nimekuja UNIPARAMIE

Aiseee nilipiga ile manzi...piga sana..baada ya mechi demu ndo ananifungukia bhana...kumbe jamaa hamfikishi demu(hamridhish)tangia waanze mahusiano hajawahi kumkojoza bhana

Jamaa alikuja kuachana na yule dem,kashaoa sa hv,na demu kashaolewa huko...Ila mpk wanaachana jamaa hakuwahi kujua kuwa nilipita na manzi ake

So wazee mkiwa na madem zenu pigen kazi muwaridhishe...la sivyo mtasaidiwa na mabaharia..NAWASILISHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…