Poa mkuu ila ukitaka hang over ya konyagii ikate we kunywa,maji ya moto moto tu. Na wakati wa kulala au saizi na msosi mwingi basi.Ntaumalizia jana nilikunywa konyagi nililewa sana hang over mpka saiv[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna haja ya WANAWAKE KUANZISHA UZI UNAOSEMA "JINSI NILIVYOLIWA KIMASIHARA"
Ukiamka asubuh hujapigwa ban nakupa mod moja dem umle kimasihara
JPM hebu malizia kale kastori aiseeMbon haiendi
Umeanza kumiliki simu lini!!?ongeza mdalasini kidogo..kwamba 2004 nyie mlikuwa mkichat kwa sms[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo unajikuta mjanja kumbe umeenda chaka sasa miaka ya 2004 bado unashangaa kuchat kwa sms? umekuja lin mjini kutoka huko kijijin kwenuongeza mdalasini kidogo..kwamba 2004 nyie mlikuwa mkichat kwa sms[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipe inbox nitakuwakilishaI wish niwasimulie ila
Ngoja nibaki nayo moyoni though i wish.
- Mimi sio msimuliaji mzuri
- Uzi huu unatembelewa na watu ninao waheshimu sana..naogopa
2004 simu zilikuwepo sema labda ulikuwa unaishi usukumani ndani hukoo katika ukata mkalii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ongeza mdalasini kidogo..kwamba 2004 nyie mlikuwa mkichat kwa sms[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kunbuka ya juma p maharage na kichaa wake. Baada ya kupata mkuyenge akasepa zake. Alitumika kimasiharaKiukweli hawaliwi kimasihara wanakuwa wametaka, sema wao kusema huwa ngumu.
Zaidi huenda sisi ndio tumetumika kimasihara[emoji3][emoji3]
Vipi tena aiseeeHakika nimeamini kweli jf kila mtu ni rich , sipendi na nimechukizwa na unachokifanya plz plz nakupa dakika 15 za kuapologize sina haja ya kujibizana la sivyo nitakuja na ushahidi hapa wa sauti maandishi na picha. Sina haja ya kukutaja ila ndio ivo ujumbe umefika na sitaki pm yeyote.
Uzi umeyumba amani imepotea na faraja imejitenga nasi .
Sipendi bora ukubali na mmalize majibizano yenu.
Hadi hapo sio masihara, ni deliberate kama utalipataDaah,mi nalitafuta kweli hilo tunda hv naweza kukipa jf?
Nilishahisi tu kuwa wewe ni tapeli...swag zako za kitapelitapeli tu...eti unaanzisha Uzi jinsi unaweza tengeneza 100m kwa siku...Kila idea unayopewa unaicrush...
Kama we kidume mwache mwana akulipue basi,,mbona umeomba pause...kimbia haraka usije ukavuliwa Nguo bure
Jamaa anashangaa kutumia Mobitel 2004 wakati watu tangu 1999 tulianza kutumia.2004 simu zilikuwepo sema labda ulikuwa unaishi usukumani ndani hukoo katika ukata mkalii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
2004 hata mi nilikua na siemens C 35 kile kimlio chake nakikumbuka mpaka leo. hata nokia tochi zilliisha anza kutoka na kuja jamaa yangu alikuja toka misri akaja na nokia ya kamera nzuri balaa ilikua kama ina ma hips hiviJamaa anashangaa kutumia Mobitel 2004 wakati watu tangu 1999 tulianza kutumia.
Anakwama sana[emoji23][emoji23][emoji23]hata nokia za tochi vile vidogoo flani zilikuwepoJamaa anashangaa kutumia Mobitel 2004 wakati watu tangu 1999 tulianza kutumia.
Duh, mzee 2004 ulikuwa 'langapi'?ongeza mdalasini kidogo..kwamba 2004 nyie mlikuwa mkichat kwa sms[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]