Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Ntaumalizia jana nilikunywa konyagi nililewa sana hang over mpka saiv[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Poa mkuu ila ukitaka hang over ya konyagii ikate we kunywa,maji ya moto moto tu. Na wakati wa kulala au saizi na msosi mwingi basi.

Uta ni tag
 
Leteni vitu jamani kama vipi uzi uhamishiwe jukwaa la wazee wa kazi ili tuwe huru
 
Hakika nimeamini kweli jf kila mtu ni rich , sipendi na nimechukizwa na unachokifanya plz plz nakupa dakika 15 za kuapologize sina haja ya kujibizana la sivyo nitakuja na ushahidi hapa wa sauti maandishi na picha. Sina haja ya kukutaja ila ndio ivo ujumbe umefika na sitaki pm yeyote.
Uzi umeyumba amani imepotea na faraja imejitenga nasi .
Sipendi bora ukubali na mmalize majibizano yenu.
Vipi tena aiseee
 
Daah,mi nalitafuta kweli hilo tunda hv naweza kukipa jf?
 
Nilishahisi tu kuwa wewe ni tapeli...swag zako za kitapelitapeli tu...eti unaanzisha Uzi jinsi unaweza tengeneza 100m kwa siku...Kila idea unayopewa unaicrush...

Kama we kidume mwache mwana akulipue basi,,mbona umeomba pause...kimbia haraka usije ukavuliwa Nguo bure

Kumbe ile jinsia iliyopewa jukumu la kubeba tunda haipo mbali na hii thread of the year?? nimeona like ya Mama Debora kwenye comment yangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😘😘😘😘😘😘😘🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom