granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Duh, mzee 2004 ulikuwa 'langapi'?
2000 Novemba nilikuwa na NOKIA 51102004 hata mi nilikua na siemens C 35 kile kimlio chake nakikumbuka mpaka leo. hata nokia tochi zilliisha anza kutoka na kuja jamaa yangu alikuja toka misri akaja na nokia ya kamera nzuri balaa ilikua kama ina ma hips hivi
Upo vizuri bahariakhaaa mamaee nakupa heshima zote cheef,yani kama vile naangalia kideo
Mkuu vipi leta madini hayo.Kuna uzi naushusha hivi karibuni ngoja kwanza nimle kwa mara ya pili ili nikamilishe mission na akichomoa pia ntasema ila ngoja nisubir bado masaaa machache kula kimasiahara mara 2
Mkuu msamehe bado kijana mdogo huyu2004 hata mi nilikua na siemens C 35 kile kimlio chake nakikumbuka mpaka leo. hata nokia tochi zilliisha anza kutoka na kuja jamaa yangu alikuja toka misri akaja na nokia ya kamera nzuri balaa ilikua kama ina ma hips hivi
Dogo unashangaa mwaka 2003 nilikuwa namiliki Sony Ericson zile ndogo achia mbali zile Motorola za TID aliyovaa kwenye video ya wimbo wa Zezeongeza mdalasini kidogo..kwamba 2004 nyie mlikuwa mkichat kwa sms[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
2004 mbona juzi tu mkuu simu zilikuwepo.ongeza mdalasini kidogo..kwamba 2004 nyie mlikuwa mkichat kwa sms[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbabe wake PATIGOO kweli ww ni kamandaSio kamanda baharia mie kamanda by profesional kabisa
Yashaisha kijana hayo tuongee mengine ila natamani nije niropoke siri ya mafanikio yake huyu kiumbe.Mbabe wake PATIGOO kweli ww ni kamanda
Mbona kama vile mnapigiana promo,au ndio man PATIGOO umeamua kuja kujipigia promo,mafanikio yenu ss yanatuhusu nin ss tunachotaka ni inshu za kula tunda kimasiharaYashaisha kijana hayo tuongee mengine ila natamani nije niropoke siri ya mafanikio yake huyu kiumbe.
Amefanyaje?Leo bendera inapepea nusu mlingoti kwa kupotelewa na muasisi wa uzi wetu pendwa...
Usisahau tag tafadhaliLete mambo mkuu
Nimehisi hivyoMbona kama vile mnapigiana promo,au ndio man PATIGOO umeamua kuja kujipigia promo,mafanikio yenu ss yanatuhusu nin ss tunachotaka ni inshu za kula tunda kimasihara
Pumbavu thana..Siku moja katikapitaa pita yangu si nilikutana na binti mmoja mkali hata Nashindwa kumfafanua ili muweze kumjua ukali wake. Nahisi msela wake ni wa humu humu jf .huyu jamaa toka achukue kigari chake cha mkopo anajiona sana. Nikamwomba ni mpige mbili tatu Nikiwa najua ni mgumu na kumwonyeshea jamaa hapo hapo kwa msela kuna kivuli na kiubishi nimalizie mchongo nje kwake. Niliinua mkono nikashika kitu Nika peleka mdomoni sikuwa nimekosea ni tunda limeiva tena ni embe.nikaondoka zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pumbavu thana..