Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Nipo kikazi mkoa XXX kwenye shirika moja lakin mradi unafanyika mikoa 2 ambayo yote naisimamia mim mwenyewe. Siku nipo home kuna ndugu yangu anasoma degree chuo uo mkoa mwingine akapost picha ya rafiki yake yeye anasoma diploma sio wanasoma nae anamuwish Happy birthday. Manz mkali saaana, katimia kila idara sura, shape, rangi nikamcheck ndugu yangu apa vip niombee namba nimsalimie, akaongea akakubali nikatumwa namba. Nikampigia nikajitambulisha nikamsfia na kumpa salam za birthday na nin yakaisha siku zikaenda. Overtime nikawa namchek namsalimia tuna chat chat hapa na pale akawa na hamu sana ya kuniona baada ya kujua nafanya kazi so ela ya mboga atapata, pia n kama I am familiar person sababu yule ndugu yangu aliyeniunganisaha nae ya uyu manz n family friend hata uo mkoa wanapotoka.

Long story short kama baada ya 2 month nikapata safari kwenda huo mkoa ambao pia nasimamia mradi na huwa tukiend tunafikia hoteli kali sana ya nyota 4 kwa uo mkoa so it’s a big deal mtu ukimwambia unalala apo. Lazma ajue tu si haba sio chenji zipo, so nlifika jpili jioni nikamchek akasema tuonane j4 Akitoka class na kweli siku ikafika mm nimemaliza mishe zangu akanichek ohh ndo najiandaa nije nikasema poa. Pale hoteli niliyofikia kwa pembeni kulikua na pub/lounge kali tu ya kishua na hata bei za zimechangamka sana so nikasogea pale nikaagiza bia nikawa napiga mdgo mdgo nikamtumia location, in 1 hour time akafika. Ebana kusema ukweli manz n mkali kavaa kigauni flani chepesi na strips black af chin kava araba flan kamech na gauni, paja linaonekana alivokaa akatoa khanga akajifunika kuua soo maana alikua ana attract sana attention pale. Binafsi mm sikua na mpango wa kula tunda ile siku nlitaka tu tupige story tujuane then mengine yaendelee taratibu alaf kesho nlikua na kazi as nipo field na watu wangu so I kept it neutral. Kaja waiter pale dem kaagiza Four cousins wine, me namchek tu nikaagiza msosi tukala, me nakula bia tu. Since kafka saa 11 jioni by saa 3 na nusu usiku nmeagiza four cousin ya 2 apo inakaribia saa 4 usiku nikamwambia twende sehem nyingine kwenye mziki tukamalize siku apa pametosha akasema af yeye anataka shisha and kuna lounge mpya imefunguliwa pia ipo close by af kali sana nikasema poa twende. Kabla ya hapo nikasema twende hoteli chumbani nirudishe simu 1 maana nna simu 2 so sikua na haja ya kwenda nazo zote mda huo na kwa mawazo yangu nikajua atasema nakusubiri naona na yeye kanyanyuka ananifuata basi hao hadi room. Naingia pale wahudum wanashangaa nmetoa wapi pisi kali ivi wakati wananipa zile Key Card za kufungulia mlango tu mm sina time nao. Tumefika room dem kanza ohh sijawahi ingia ii hotel leo ndo first time, kaenda washroom katoka kajilaza kitandani ohh the bed is nice ohh una charger ya Iphone nikampa. Me nikavua shat vaa Tshirt nikapuliza perfume nikamwambia twende akasema naacha pochi na ile chupa ya 2 ya Four cousins ilobaki akaicha yupo ohh ntaipitia vyote tukirudi mimi sikuwaza sana nikasema poa hata sikuwaza chochote. Nadhani alipagawa tu na mm nilivyo hahahah.

Tumefika kaagiza Flying Fish, likaja Shisha pale anavuta me namchek tu mimi nikaendeleza bia, tumekaa kama 1 hour tu akaanza ohh naskia usingiz nikasema tusepe haoo vuum had hotel. Nikajua anachukua vitu anasepa uyoo kavua nguo zote kaingia bafuni mm nipo zangu tu bed mda huo akawa kajui namna ya ku switch on heater sasa si ndo kuniita dohh naingia ivi kumuona tu asee sikuamini asee dem alivoumbika na mimi nika undress nikamjoin pale pale kwenye jacuzi basi ndugu msomaji tukaoga nikapiga cha kwanza bafuni ( one of romatic sex I ever had i my life yy mwenyewe bado anaota ii ndoto, it was soo good) tukaja room nikapiga cha 2 tukalala ( Apa nliuza mechi mazee). Kesho nimeamka nikapiga cha 3. Dereva kaja hoteli kanipitia nikaoga nataka kusepa namuuliza unaenda chuo yuko ohh ntaenda jioni nikaona kanogewa uyu nikafungua wallet nikampa 40K nikamwambia by saa 8 mchana ntakua nmerudi nlivotoka nikaweka kile ki tag cha do not disturb kwenye kitasa nnje ili watu wa usafi wasilete nongwa. Kweli nmerudi kama 8 na nusu mchana namkuta anachat tu na simu ohh apa kuna wireless sijaboreka kabisa mm namchek tu nikaweka kifo cha mende nikapiga cha mwisho. Tumemaliza tukaoga pale kwenye saa 10 ivi tukatoka hao had sehem moja ivi tukala msosi nikamwitia bajaji nimkampa tena 30k ya nauli ndo akasepa.

Long story short, ilibid nicheck out hotelini Friday dem akakomaa nikaondoka jpili jioni na izo weekend zoote ilikua n show show tu maana nlihama hoteli nyingine nzuri ila sio kama ile ya kwanza. From there akawa ndo dem wangu bahati nzuri/mbaya nikaja kuhama kazi nikaenda mkoa mwigine kusin mwa Tanzania nlivosettle nikamtumia nauli akaja likizo moja kule akakaa tena 1 week akarudi zake. But had leo n dem wangu nipo nae japo mahusiano yetu n long distance.
hii sio kimasihara mkuu.
 
Ya Kibondo sasa kabla hatujafika Kigoma mjini hii nililiwa kimasihara sijui na pisi pia nafkiri

Kama kawaida alasiri flan tumeingia Kibondo chek lodge ni mji flan hatukua na kazi kubwa so mapema tu tumekaa jua halijaza kazi ya kufanya hatuna pa kwenda hamna bado ilikua week end

Lodge pale ilikua kuna kibar flan tunagonga bia na boss wangu yank tu japo mkubwa kwangu na sivungi kifupi hatuogopani kama wana tu, nkamwambia mzee mi hali sio hali hapo hapo akanionyesha pisi moja ya vinywaji giant flan ila liko sex macho tako chuchu kubwa zimesimama laini hilo guu hatari

Kunionyesha nikamwita kumuuliza sehem gan pana vibe giza likiingia akaniambia nkaomba na compan yake akazingua bembeleza sana akazingua, nkasema duuh shida nin yan nawaza ila baadae nilielewa na don mmoja alifikia pale pale kabla yetu na kashahonga kifup kashafanya booking kubwa so nikaomba namba tukakausha

Jion tukaingia bar club moja Kibondo ina vibe balaa [emoji28][emoji28], ingia mule piga bia sana, nkamueleewa dada mmoja white ni kisuu cha hatari silaha yangu moja kwa viumbe ni ukimya kutokua mapepe so nilimsoma yule mdada muda ni mzuri sana

Nko na boss wangu na wanae maboss wenzie maafis a wakubwa wa wilaya na mkuu mmoja akanipa info vizuri kua yule muhudum mgeni kidogo so bado hajashikwa na mtu

Nilipata nguvu nikamwita na kuomba namba ili tuwe tunachat mi napenda ukimya ila kuandika sio mvivu sana dem alitia ngum ngum nilihangaika nae mpaka wakubwa wakaona waniache tu wao wakaenda kulala, kufukuzia wafanyakaz wa club ni mateso [emoji28][emoji28] yan kwenda kulala saa mbili asubuhi ni kufikia tu mim nilikua radhi niachwe pekeangu waende na magari yao nirud na boda

Dem finaly akaniambia nimsibiri hadi wakifunga nilikaa wajomba, sikumbuk sijui saa ngapi ilikua nkampeleka gheto alienda kuchange nguo ni gheto si mbali na hapo wanakaa wafanya kazi wa hio place,

Kachange tukadaka boda hadi lodge, dada alikua msafi ila ndom zilikuepo kumi na mbili na nusu mtoto akaoga nikamtia ganji akasepa

Sasa ile ametoka tu dk tano hazijapita nasikia hodi tena nkaona hee itakua kasahau kitu bi dada, ile nafungua si namkuta yule dada wa jana ambae alikua kabanwa na don akanikatalia kufungua tu kazama ndani sikulemba ni litamu hatari sidhan kama aligongwa ule usiku kama nilivyowaza ni mtam yule mtu analoa vizuri ute unashika mashine na hauna rangi nahis alinitegea ilikua ni kama anasubiri mwenzie atoke aingie yy ya ni lazima walipishana koridon [emoji28][emoji28]
wewe ni ke au me?? para ya kwanza imenivuruga
 
Wataalam nina kisa kimoja hiko.. nilikula sister wa kanisani.. kwenye kuomba msamaha kwa Mungu nafsi inasema ili niwe Huru hii Siri niitoe kwa watu wajue na Moyo wangu utakuwa na Amani.. hiyo Dhambi nilifanya 2021 seminari nipo malezi sasa nimerudi parokiani kwangu ndo nakutana na huyo sister, sister anaitwa (….) ni Mkenya Shirika la (....) alikuwa mdogo sana... Mwaka Jana nikasikia amefariki Kwa ajali ya gari.. NITAELEZA UKWELI Watu wakijua Nafsi Yangu naamini Itatulia sana
Sasa hapo ndio umeeleza au huo ni utangulizi (Dibaji)?
 
Nilikua nyuma ya jukwaa pale kwenye nyama ya mbuzi karibu na hile sinema ya royal tour mkuu umeondoka mm bado nipo uku MU [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahahaha nimeshasepa kaka, kama bado upo MU nikija ntakutafuta kaka ,hapo kwenye banda la nyama huko palikuwa na warembo fulan hivi wamevaa kama form six nyeupe hivi .

Uliwaona wale wadada wanaoshindana kunengua[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mwaka 2007, natoka zangu chuoni SUA Mazimbu Campus. Nimeshuka pale relini(Dark City) saa 1 jioni kagiza kanaanza nami ninakaa mitaa ya Kihonda. Naifuata reli na kuelekea magetoni. Mara nakutana na Jimama la kiarabu Nene na mtu mzima (Lishangazi) limevaa hijabu. Nikataka niliamkie "shikamoo" ila sijui nilipata wapi ujasili nikajikuta
Mi: Mambo
Yeye: safi
Mimi: unaenda wapi?
Yeye: Hapi dukani mara Moja.
Mi: Twende mitaa ya kwetu kule kuna duka.
Yeye: Sawa

Nikalikokotoa na kulirudisha nyuma huku nipo buyu. Nikalifikisha mitaa ya geto tulipopanga na majamaa. Nikamwambia, njoo kwanza upaone kwetu. Majamaa yananishangaa leo huyu kijana kalitoa wapi hili limama. Geto tuna Meza ya kusomea, meza tumeweka Subwoofer, viti na kitanda. Mwenzangu nikiyekuwa naishi naye Gheto kuona nimekuja na mgeni akamsalimia kisha akaondoka na kuniacha naye. Mi nikakaa kwenye kiti yeye akaenda kukaa kitandani kwani viti vingine tulikuwa tunaweka nje kwenye kasehemu ka kusomea na majamaa wenhine walikuwa wanasoma pale. Mara akasema, nimepaona nataka kuondoka. Nikalisogelea kitandani na kulilaza. Mjuba sina story naona kanyamaza tu. Mara nikainuka na kikatafuta ndomu na kisha nikaivaa moja. Lenyewe limelala tu kitandani huku l8mejifunika ushungi wake usoni kwa aibu. Hakuna touch wala nini, Nikasogeza chupi yake pembeni na kuzamisha kitu. Baada ya muda, Wazungu hao, likainuka na kuniambia nilitoe kwani alimuacha mama yake ndani peke yake so anawahi kurudi.

Nikamtoa na kumsindikiza na njiani ndipo tukaanza kutambulishana akaniambia anaitwa S.... na tukapeana namba za simu. Tukawa tunawasiliana na nikawa najipigia tu lishangazi. Lilipoanza nizoea ndipo likanifungukia kuwa yeye ananijua na ananionaga sana ninapo pita kwenda chuoni. Alinipenda muda na hakuwa anajua tutaonanaje so tulipoonana nami kumsimamisha na kuanza muongelesha alikubali na hata kukubali kwenda kwangu kwani ananielewa kitambo na anataka nimzalishe kwani yeye anajitosheleza kila kitu na ana hiace za Town Mazimbu na biashara Moro town ila hajawahi kuwa na mtoto maishani mwake. Kwa kuwa mimi ni HB nina rangi ya kimachame kwani na yeye alikuwa ni mchanganyiko wa waarabu na waswahili aliona tuna fiti kabisa kuwa Baba watoto wake. Yule shangazi alinipenda sana na aligikia hatua hata kunitambulisha kwa Mama yake aliyekuwa anaishi naye pale kwake. Nilikuwa najipigia tu muda wowote nitakao na kweli aliniweka mjini.

Baadaye akaniambia anataka mtoto so anaomba kesho tukapime UKIMWI ili niwe namla kavu kavu. Tukakubaliana kesho yake tuongozane hadi town tukapime UKIMWI then niwe namgonga kavu ili abebe ujauzito. Hapo ndipo palikuwa mwisho wa mapenzi yetu kwani ule ujasiri sijui niliutoa wapi, nikakataa kabisa hiyo kesho yake kwenda kupima kwani nilikuwa Malaya tu na nikahofia nisije kukutwa nao. Alinibembeleza sana yule Mama kwani ni kweli alinipenda na aliniweka sana mjini na maisha yakawa safi pale SUA ila nilikaza. Mwisho akanitumia SMS "Sawa nashukuru kwa kuchezea hisia zangu ila mimi mtu mzima na wewe bado kijana ni bora nijivie sasa kwani utaendelea kunitesa na kuninyanyasa kama tukiendelea kwenye mapenzi kwa muda mrefu kwani hupendeki" eti Nikamjibu "Tajiri na Mali zake, Maskini na Mbo..o yake". Hahaaa ujana huu. Nisameheme sana S... wangu kama badu upo hai.
hii ilishatumwa humu.una cope n paste?
 
The Prophet ﷺ said:

‎“From the most wicked people in the sight of Allah on the Day of Judgment is a man who has sexual intercourse with a woman and then exposes her secret (meaning: tells people what they have done)”

Sahih Muslim 1437
 
Baada ya kusoma sana visa vya RICK BOY ngoja niwape changu cha masikhara miaka hyo Bibo hostel hapo.

Manzi mmoja tulitoka nae kitaa, fatilia sana toka tupo 4m4 wapiiii hataki kuelewa, tukamaliza six, nilikuwa nasoma mikoa yenye baridi kali huko yeye yupo Town kiba***a nikirudi likizo jaribu hapa na kule lakini wapi...hataki kuelewa.

Zikatoka selection kujiunga elimu ya juu nikawa hapo town ye akachaguliwa mtakatifu kwa bahati mbaya akashindwa kwenda kutokana na ada. Ikabidi avute mwaka..ilipofika wakati wa kuomba akanitafuta bwana alikuwa ananiamini kwenye mambo mengi na mengi nilikuwa nafahamu kwakweli na namsaidia ila kuniachia ndio alikuwa anaweka ngumu.

Nikamwambia panda bibo...nikufanyie application..soma sana cut off za tcu...akaja nikapanga machaguo..bwanabwana selection zinatoka kachaguliwa town hapohapo akawa yupo nayeye bibo...ingawa tupo campus tofauti..

Bado tupia story za hapa na pale bado anachomoa...bwana wee siku nipo room naumwa nshakunywa na metakeflin napigiwa anataka nimtoe dinner...lalala tunatoka bwana mitaa fulani pale bar xhini karibu na brbr nagusia chumba hakuna ubishi wale wadada walishanizoea pale...kuingia ndani kumbe bwana aliakuwa amejipanga..pamoja na kuumwa nilipiga..lakini kila nikipiga mwili unazidi juwa wa baridi mpaka akastuka ninini mbona miguu ya baridi na feni inapuliza kinyama. Kuja kumwambia nna metakeflini na nimekuja kwakuwa umenisumbua..alicheka sanaaa ikabidi ipangwee tena game nikiwa mzima wa afya salama salimini.
 
Ntawaletea ya mdada mmoja mnyambo sura ya kinyarwanda...akiwa mwaka wa tatu mi wa kwanza...aiseee
 
Baada ya kusoma sana visa vya RICK BOY ngoja niwape changu cha masikhara miaka hyo Bibo hostel hapo.

Manzi mmoja tulitoka nae kitaa, fatilia sana toka tupo 4m4 wapiiii hataki kuelewa, tukamaliza six, nilikuwa nasoma mikoa yenye baridi kali huko yeye yupo Town kiba***a nikirudi likizo jaribu hapa na kule lakini wapi...hataki kuelewa.

Zikatoka selection kujiunga elimu ya juu nikawa hapo town ye akachaguliwa mtakatifu kwa bahati mbaya akashindwa kwenda kutokana na ada. Ikabidi avute mwaka..ilipofika wakati wa kuomba akanitafuta bwana alikuwa ananiamini kwenye mambo mengi na mengi nilikuwa nafahamu kwakweli na namsaidia ila kuniachia ndio alikuwa anaweka ngumu.

Nikamwambia panda bibo...nikufanyie application..soma sana cut off za tcu...akaja nikapanga machaguo..bwanabwana selection zinatoka kachaguliwa town hapohapo akawa yupo nayeye bibo...ingawa tupo campus tofauti..

Bado tupia story za hapa na pale bado anachomoa...bwana wee siku nipo room naumwa nshakunywa na metakeflin napigiwa anataka nimtoe dinner...lalala tunatoka bwana mitaa fulani pale bar xhini karibu na brbr nagusia chumba hakuna ubishi wale wadada walishanizoea pale...kuingia ndani kumbe bwana aliakuwa amejipanga..pamoja na kuumwa nilipiga..lakini kila nikipiga mwili unazidi juwa wa baridi mpaka akastuka ninini mbona miguu ya baridi na feni inapuliza kinyama. Kuja kumwambia nna metakeflini na nimekuja kwakuwa umenisumbua..alicheka sanaaa ikabidi ipangwee tena game nikiwa mzima wa afya salama salimini.
Huyo katoka kugombana na jamaa wake, hasira zake kaamua akupe kilaini
 
Ahahaha nimeshasepa kaka, kama bado upo MU nikija ntakutafuta kaka ,hapo kwenye banda la nyama huko palikuwa na warembo fulan hivi wamevaa kama form six nyeupe hivi .

Uliwaona wale wadada wanaoshindana kunengua[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] niliwaona Mzee nikawamezea mate nipo mzee Mpaka wa 7 hivi ndo ntakuwa nmemalizana napo uku MU
 
Katika makuzi ya maisha ya mapemzi hakuna formula. Nikiwa hapohapo kwenye hostel hizohizo wakati huo karibia shule yetu nzima ya advance na darasa zima la six limemwagwa kukawa kama vile bado tupo kiadvance..tembelea sana block A kwa wadada ambao tulipiga nao advance.

Mambo ya birthday nini kwa wadada walioingia dar kwa sababu shule ndio imewaleta Town.. ikawa kwa wingi sana. Kila wakati nipo kwenye room ya hao wadadaniliosoma nao na kuna mdada wa kinyambo wanaishi nae humo ingawa aliwazidi mwaka.

Nasema hakuna formula kwakuwa mi nilikuwa zangu cool sana lakini kila nikiongea mdada wawwatu wa mwaka wa tatu ananiambia mi mcheshi sana.

Ghafla tu pepo likaniambia mwambie nataka nikutoe out leo usiku..kitu kikatick akasema ngoja mida ya saa mbili..

Hela nnayolipia mpaka leo ilikuwa inasoma kwenye akaunt..mida ikafika somesha mnyambo twende nje kwenye chips samaki..achana na RB. kaelekea kibra.

Tukafika zetu palepale, agiza zangu ugali samaki mkubwa na maji kubwa, akaagiza zake chips tumekaa zetu ghorofani kwenye makuti. Nikagusia tu siwezi kukaa nje kwanza mie njuka we nwaka wa tatu mi naenda kuchukua room tuhamie ndani...ajabu hakubisha kachukue lakini mie sijajiandaa sifanyi chochote nataka kurudi mapema. Sikumkatalia...OK.

Hamishia kila kitu ndani, tunafika story za hapa na pale gusa hapa gusa pale katulia tuli...fungua code moja baada ya nyngne katulia tu...cheki time saa nne nilipiga mpaka asubuhi..ile tunatoka asubuhi sana..uso nna macho na mwaka wa kwanza wenzangu nipo na mdada wa mwaka wa tatu portable shape ya kinyarwanda..wakaanza kuniita jina la jack Bauer wakati huo 24hrs ndio series Motooo.

Nikamrudia siku nyngne kwa appointment nikaachama na mchezo huo kabla wale wenye room hawajastuka mana nilikuwa naonekana innocent man
 
Back
Top Bottom