Mkuu kweli kabisa, ila PESA usiilete mchezo mkuu, unaweza ukamla mtu kimasihara kabisa, ukajaa mazima, tatizo linakuja huwez kum contains mtoto wa watu kwasababu tu huna pesa, umependa na wewe alikukubalia sababu ya your looks and all the later you said, linatokea jamaa linaweza likafix mambo madogo madogo linaanza kumkaza, utajisikiaje? Anyways being a Man is very very tough yan unatakiwa uwe na full package au 75 ya vitu ambavyo wanawake wanatakaga, wanawake wa mjini wanadate na watu waa aina tatu au nne nao ni
1. Mwanaume anaempenda, huyu atampa pussy si anampenda.. Ila sababu hana hela mwanamke hajali why? Ana mwanaume namba mbili.
2. Mwanaume mwenye pesa/mzee mwenye pesa, huyu anajua akimtikisa muda wowote anapata pesa hapa ndio wastaafu wanapowarukia mademu zetu
3. Mwanaume ambae is a Good guy, sasa hili ni zoba, mara nyingi wanawake huwa wana miss enterprate being good na ufala, so huyu fala ye atalitumia kufanye chores za nyumbani and all a man can do in a house, huyu ni yule fala Mwanamke anakaa ilala boma, lenyewe linakaa bunju B, analipigis simu liende kariakoo likamunulie vitu na lilivyofala linatoka bunju mpaka kariakoo linafanya mahemezi linaenda kwa mwanamke linafikisha vitu linapewa busu la shavu linaanza safari ya bunju b mana bunju b ni kama bagamoyo tu, hili fala haliwez sema no. Na wa mwisho ndio
4. A MANDINGO, a person who fucks her good... Huyu sasa haendeshwi wala hasumbuliwi na muda wowote akitaka pussy anapewa..
Women are very complicated my G, the less you concentrate on them the more they become attractive to you, the way women define on how somebody is mascular and sexually virile has nothing to do with your cute lillte light skin face...