Inawezekana! sasa anapata faida gani??Unaweza Kuta Mtoa mada ni njemba.
Mbona shule kibao za serikali vyoo na bafu vipo humohumo mabwenini???Shule gani ya bweni ina vyoo humohumo bwenini???
Labda hizo private zenu. Nimesoma Govt Shule ya bweni hakuna kitu kama hicho
Pumba.afu
Attention seekerInawezekana! sasa anapata faida gani??
Kwa sisi ambao tulipita Mazengo enzi hizo ambapo siku hizi ndio St. John University pale Dom ilikuwa na vyoo na bafu ndani kila floor. Nje viliwekwa kwa kuwa maji yalikuwa yanatoka kwa shidaWe jamaa umesoma shule gani??
Mbona shule nyingi tuu zinamabweni yenye vyoo ndani. Sio kwamba kila rooms inachoo but unakuta kwenye floor husika kuna Choo.
Kwa ajili ya nini?Attention seeker
Kushobokewa na vidume humu. 😎Kwa ajili ya nini?
Kumbe bado hawajauza....
Hamna namna nchi ishauzwa hii kilichobaki tugawane.Unashabikia nyuzi kama hizi ziwepo ili kuwarubuni watz wakija kushtuka hata kwenda kupiga picha bandarini ni marufuku 😄.