Mods hili naomba tuliweke sawa "kula tunda kimasihara na jinsi nilivyoliwa kimasihara mbaka nikatoboa kimaisha " hizi ni nyuzi mbili tofauti .

Kuchukua uzi wa yule dada brina na kuunganisha na huu uzi wa riki boy , kusema kweli kabisa bila kupepesa macho huku nikutukosea kabisa wasomaji . Ukweli mmezingua sana
 
Huyo mwamba ni mimi, fungua pm!
 
Guys naona weng MNA PM
Story ni ya kweli kabisa Ila kutokana na bullying and torture I decided to quit mtanisamehe
Nilijua tu hawa wapuuzi watakutoa kwenye mood... usifanye hivo banah.. wapuuze,, tumalizie banah tunaomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…