Acha kutisha watu, kucha inakuaje na kovu??Mkuu umemtia vidole af ukavaa condom unajitapa uko salama, kucha na ngozi huwa zina makov mda wote hivo wahi kula PEP
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] daa! Watu mnajua kutengeneza maneno, 'kinye 0" hahahaa.Kuwa makini bro’ kinye 0 kitakuwa rehani mda wowote [emoji33]
Ni kijana wa ajabu sana.Tuje pm kufanyaje sasa na umesema ana umeme? Shwain kabisa!!!
Crush wako anaitwa nani sababu hata mm X wangu niliekua nampenda Sana kavishwa Pete nae Jina linaanza na MWakuu nina majonzi;
Crush wangu leo kavishwa pete ya uchumba na mwanaume wake.... nimehuzunika sana. Nifanyeje? Au nimpigie mpenzi wangu nimwombe ushauri?
Vijana wana masihara sana😂Mkuu unataka tuje hadi PM kabisa ili tuchukue nanba ya Gridi ya Taifa🥲🥲🥲
Sema mm wa hivi sienjoiiiiiJuzi nilikula kizembe sana toto la Kiha
Huyu manzi nilimpiga mistari miaka mitatu iliyopita. Akaonyesha dalili baadae ghafla akanipiga block. Bahati mbaya ni ofisi jirani ambayo kila siku lazima tuonane. Japo yeye alikuwa ananikwepa maana alikula kama 50k hivi. Mimi nikampotezea huku nikimuonyesha sijamind kabisa.
Mwezi huu akaanza kunitumia sms za usiku mwema na kazi njema. Mara juzi kanialika kwake. Nimeenda pale sina hili wala lile tunapiga stori tu tena kwa makusudi nikakaa naye mbali kabisa. Mpaka saa 4 usiku, mwisho nikamuaga, tukanyanyuka anitoe getini.
Mara ghafla akazima taa na kunikumbatia. Mwanaume wa kukataa fursa kama hii hayupo, nikaliunga.
Heeee si akaniambia twende chumbani. Kwa hiyo wazee mwanamke akikuringia usitie hasira.
Mkuu umedhamiria kabisa kutuunguza[emoji16][emoji16]0694-377424 ishi nae huyo
HahahahaNimecheka sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee nilipigwa ban ngoja niwaletee kisa hikiMasihara mpk asubuhi sio mchezo. Utujuze ukipata muda na pia endeleza makamuzi mpk maji aite mma
Muda wa kumeza PEP umeshapita, ajiandae tu kuwa mteja wa ARVsMkuu umemtia vidole af ukavaa condom unajitapa uko salama, kucha na ngozi huwa zina makov mda wote hivo wahi kula PEP
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Mafuta gani unatumia mkuu..?Mungu Mwema wakuu baada ya Kunywa PEP mwezi mzima nimepima hii mara ya Sita sasa ndani ya mwezi nipo NEGATIVE.
Nawashauri Washkaji zangu tule kimasihara Ila Ndomu NI muhimu Sana au Mafuta Kwa wingi aisee Katika Begi lako hivyo vitu usikose.. Mimi kama sio Mafuta Leo ningekuwa kwenye gridi Moja ya Mawasiliano ya Mkono
Nawashukuru Sana Wadau walionipa moyo bado natakiwa kujilinda Hadi miezi mitatu tena nipime.
NIPO HURU
Mafuta yanafanyeje hapo?Mungu Mwema wakuu baada ya Kunywa PEP mwezi mzima nimepima hii mara ya Sita sasa ndani ya mwezi nipo NEGATIVE.
Nawashauri Washkaji zangu tule kimasihara Ila Ndomu NI muhimu Sana au Mafuta Kwa wingi aisee Katika Begi lako hivyo vitu usikose.. Mimi kama sio Mafuta Leo ningekuwa kwenye gridi Moja ya Mawasiliano ya Mkono
Nawashukuru Sana Wadau walionipa moyo bado natakiwa kujilinda Hadi miezi mitatu tena nipime.
NIPO HURU
Unamtisha mwenzio ila unachoongea ni kweli sasa awahi fasta kabla masaa 72 hayajaisha akapambane na maluweluwe ya dawa za pepMkuu umemtia vidole af ukavaa condom unajitapa uko salama, kucha na ngozi huwa zina makov mda wote hivo wahi kula PEP
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
26 ni katoto!!😳Kuna katoto kanae 26 yrs karoho hako ila kutoa papa kanazingua mm mwenywe si muhuni nakasubir tu ipo day ntakanawa na mboo juu
Ntawaletea habar zake wanangu
Mara 6 zote unapima unatafuta nini mkuu.Mungu Mwema wakuu baada ya Kunywa PEP mwezi mzima nimepima hii mara ya Sita sasa ndani ya mwezi nipo NEGATIVE.
Nawashauri Washkaji zangu tule kimasihara Ila Ndomu NI muhimu Sana au Mafuta Kwa wingi aisee Katika Begi lako hivyo vitu usikose.. Mimi kama sio Mafuta Leo ningekuwa kwenye gridi Moja ya Mawasiliano ya Mkono
Nawashukuru Sana Wadau walionipa moyo bado natakiwa kujilinda Hadi miezi mitatu tena nipime.
NIPO HURU