Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Wakuu nina majonzi;
Crush wangu leo kavishwa pete ya uchumba na mwanaume wake.... nimehuzunika sana. Nifanyeje? Au nimpigie mpenzi wangu nimwombe ushauri?
Crush wako anaitwa nani sababu hata mm X wangu niliekua nampenda Sana kavishwa Pete nae Jina linaanza na M
 
Juzi nilikula kizembe sana toto la Kiha
Huyu manzi nilimpiga mistari miaka mitatu iliyopita. Akaonyesha dalili baadae ghafla akanipiga block. Bahati mbaya ni ofisi jirani ambayo kila siku lazima tuonane. Japo yeye alikuwa ananikwepa maana alikula kama 50k hivi. Mimi nikampotezea huku nikimuonyesha sijamind kabisa.

Mwezi huu akaanza kunitumia sms za usiku mwema na kazi njema. Mara juzi kanialika kwake. Nimeenda pale sina hili wala lile tunapiga stori tu tena kwa makusudi nikakaa naye mbali kabisa. Mpaka saa 4 usiku, mwisho nikamuaga, tukanyanyuka anitoe getini.

Mara ghafla akazima taa na kunikumbatia. Mwanaume wa kukataa fursa kama hii hayupo, nikaliunga.

Heeee si akaniambia twende chumbani. Kwa hiyo wazee mwanamke akikuringia usitie hasira.
Sema mm wa hivi sienjoiiiii
Yaaan aliyenizungusha na akaniblock halaf akaja kunitafuta mwenyewe ni HAPANA.
nakuwa nishakata mzuka nae
 
Mungu Mwema wakuu baada ya Kunywa PEP mwezi mzima nimepima hii mara ya Sita sasa ndani ya mwezi nipo NEGATIVE.

Nawashauri Washkaji zangu tule kimasihara Ila Ndomu NI muhimu Sana au Mafuta Kwa wingi aisee Katika Begi lako hivyo vitu usikose.. Mimi kama sio Mafuta Leo ningekuwa kwenye gridi Moja ya Mawasiliano ya Mkono

Nawashukuru Sana Wadau walionipa moyo bado natakiwa kujilinda Hadi miezi mitatu tena nipime.

NIPO HURU
 
Mungu Mwema wakuu baada ya Kunywa PEP mwezi mzima nimepima hii mara ya Sita sasa ndani ya mwezi nipo NEGATIVE.

Nawashauri Washkaji zangu tule kimasihara Ila Ndomu NI muhimu Sana au Mafuta Kwa wingi aisee Katika Begi lako hivyo vitu usikose.. Mimi kama sio Mafuta Leo ningekuwa kwenye gridi Moja ya Mawasiliano ya Mkono

Nawashukuru Sana Wadau walionipa moyo bado natakiwa kujilinda Hadi miezi mitatu tena nipime.

NIPO HURU
Mafuta gani unatumia mkuu..?
 
Mungu Mwema wakuu baada ya Kunywa PEP mwezi mzima nimepima hii mara ya Sita sasa ndani ya mwezi nipo NEGATIVE.

Nawashauri Washkaji zangu tule kimasihara Ila Ndomu NI muhimu Sana au Mafuta Kwa wingi aisee Katika Begi lako hivyo vitu usikose.. Mimi kama sio Mafuta Leo ningekuwa kwenye gridi Moja ya Mawasiliano ya Mkono

Nawashukuru Sana Wadau walionipa moyo bado natakiwa kujilinda Hadi miezi mitatu tena nipime.

NIPO HURU
Mafuta yanafanyeje hapo?
 
Mungu Mwema wakuu baada ya Kunywa PEP mwezi mzima nimepima hii mara ya Sita sasa ndani ya mwezi nipo NEGATIVE.

Nawashauri Washkaji zangu tule kimasihara Ila Ndomu NI muhimu Sana au Mafuta Kwa wingi aisee Katika Begi lako hivyo vitu usikose.. Mimi kama sio Mafuta Leo ningekuwa kwenye gridi Moja ya Mawasiliano ya Mkono

Nawashukuru Sana Wadau walionipa moyo bado natakiwa kujilinda Hadi miezi mitatu tena nipime.

NIPO HURU
Mara 6 zote unapima unatafuta nini mkuu.
 
Back
Top Bottom