Ukikua utaacha. This is too childish.
 
Mzee wa kimasihara πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…hii imeenda
Imeishaaa.

Kuna Jamaa aliwah gombana na Demu wake, akaja JF kuweka meseji anaomba mawazo, akawa kaficha namba, ila Kwa macho ya kichina kama yangu ukizoom ,zikawa zinaonekana.


Toka huo mwaka 2018 mpaka Leo, Demu wake najitafunia Kila napopata nafasi ya kuja maeneo yaleeee !!.
 

Imagine unachat na mtu unakuta chat zenu huku Jf duh
Ila inaonekana age inaruhusu
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimejikuta nacheka vijana wa hovyo bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…