Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho

Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara

Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba

Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara

Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF

Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
si ndiyo siku ile alikutokea Licud tanga asubuhi akikwambia amekupenda na utoke hotel fulani hapo Dom na usipofanya hivyo ataenda chukua bibi wa wili alale nao usiku huo. wewe ukashadadia kuwa huo ni mtongozo wa nguvu kumbe ukaenda.....ukaona na ujinga wenyewe na uishe. lakini hukuliwa kimasihara bali mlilana kimasihara maana na ninyi mna haki ya kupata mkitakacho na mtakapo.
 
Mkuu nafeli wapi ? Au nitumie maujuzi ya humu na mm nilete ushuhuda wa kula kimasihara ?
 
Ndiyo nimerud kuna mtu anateseka kwani
Mkuu umefufuka?!
1574352278_1574352277-picsay.jpeg
 
Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho

Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara

Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba

Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara

Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF

Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Dar uliliwa kimasihara na 7800 juu, bado tena na dom ukaenda kuliwa kimasihara...duh
 
Back
Top Bottom