Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Kudadeki wagonjwa wajiandae kuliwa kimasikhara CosmasjuliusMkuu rikiboy we ni daktar unaekula kimasihara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudadeki wagonjwa wajiandae kuliwa kimasikhara CosmasjuliusMkuu rikiboy we ni daktar unaekula kimasihara
NdioUnaogopa.....?
Next time mkuu ukipita hii road tufahamishane tunaweza kufanya narejeo ya tukio, nitakuja PM!Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho
Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara
Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba
Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara
Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF
Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
i wish i could be IGP, nawish ningekuwa mimi mkuu!Dah nliwai kumwelewa mtu mmoja tu humu afu akanipotezea adi nikaolewa na mtu mwingine japo atukulana wala kuonana adi leo......
Mkuu nimewahi kuwatongoza wengi sana humu kupitia PM ila kamwe sijawahi kuwapa details zangu kiundani. Shida ya hawa wanawake wengi huwa wanajiachia sana hawaogopi sijui kwanini? Huwa napanga nao miadi ila hata maili 100 kuzunguka eneo la miadi sitokei.Yaani JF imechafuka kiasi hiki? Mwisho mtaanza kutajana hadi majina aisee! Nilivyoona wanaume wanawafungukia wanawake wa JF nikajua sasa ipo siku na wanawake watafunguka ya kwao!
Kuna vitu kama hivi ndiyo vinasababisha nisitongoze wanawake wa JF, maana naamini ipo siku JF itakuwa kama FB.
Tunasogea kidogo kidogo tu.
Hutaki amaa
Uni tag mkuu ukiletaaaNgoja nije niwaletee za kimasihara zangu mbili,ila kwanza nataka nihakikishe kama wakwe zangu hawaijui hii id.
Maana nimekula Shemeji na Beki 3.
Dada mrembo uko Hombolo? ukirejea tuzungumze aisee, mimi niko mitaa ya Ihumwa hapa, nitapita PM baadae!Hombolo
Wewe dogo upo?
Zabibu zipo lakini tayari zimeiva. Ninaomba nikutumie Hela unitumie za 20k hapa ARUSHA demiss
Mkuu umefufuka?!View attachment 1288100
Haaahaaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Kuna demu yumo humu nilianza kumtania kwa kumtumia ngoma ya mapenzi ya Bryan Adam kwenye PM. Then tukachart nikamwomba one night nimtoe dinner akakubali... Nikampeleka tegeta pale China bar Hadi saa nane midnight then nikaenda kujitombear lodge. Ila tulienjoy saana.
I miss you anonymous wa jf ulienizawadia kabumunda.
Nmevutiwa na kile kipini cha puani best.
Hivi ile ilikuwa serious au madhara binamu....?
Waoh ,mambo
Dah...!Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho
Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara
Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba
Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara
Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF
Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Hahahaha, bora umerudi ,tulimiss maandishi yako ,karibu sana
Dada mrembo uko Hombolo? ukirejea tuzungumze aisee, mimi niko mitaa ya Ihumwa hapa, nitapita PM baadae!
Hahahaha, sawa sawa karibu tenaNimejaa tele kama ushindi w ccm serikali za mitaaa