Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho

Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara

Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba

Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara

Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF

Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Next time mkuu ukipita hii road tufahamishane tunaweza kufanya narejeo ya tukio, nitakuja PM!
 
Yaani JF imechafuka kiasi hiki? Mwisho mtaanza kutajana hadi majina aisee! Nilivyoona wanaume wanawafungukia wanawake wa JF nikajua sasa ipo siku na wanawake watafunguka ya kwao!

Kuna vitu kama hivi ndiyo vinasababisha nisitongoze wanawake wa JF, maana naamini ipo siku JF itakuwa kama FB.
Tunasogea kidogo kidogo tu.
Mkuu nimewahi kuwatongoza wengi sana humu kupitia PM ila kamwe sijawahi kuwapa details zangu kiundani. Shida ya hawa wanawake wengi huwa wanajiachia sana hawaogopi sijui kwanini? Huwa napanga nao miadi ila hata maili 100 kuzunguka eneo la miadi sitokei.
 
Kuna demu yumo humu nilianza kumtania kwa kumtumia ngoma ya mapenzi ya Bryan Adam kwenye PM. Then tukachart nikamwomba one night nimtoe dinner akakubali... Nikampeleka tegeta pale China bar Hadi saa nane midnight then nikaenda kujitombear lodge. Ila tulienjoy saana.

I miss you anonymous wa jf ulienizawadia kabumunda.
Haaahaaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]

Maniner
 
Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho

Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara

Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba

Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara

Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF

Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Dah...!
Kwa hiyo ndo umeamua kuja kunishtaki humu?
Hujui kama mke wangu pia ni mwana Jf akupitia huu uzi sijui itakuwaje leo nyumbani!!!
Ila ukweli siku ile nilikufaidi sana aisee natamani siku nyingine uje tena Dom
 
Back
Top Bottom