David Mgeni
Senior Member
- Aug 4, 2020
- 104
- 138
Madereva wanaoenda mbeya tupeane konnection
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mwamba anasema amemzidi umri shem wake[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wew jitie kihere here siku dada anafukuzwa hapo na wewe utajua hujui ..... niseme tu ukweli sisi wanaume tunatofautiana sana kwanzia mtazamo mpaka tabia ...... hvi ntanzaje kukaa kwa dada yangu alafu bado niwe na ujasiri wa kumendea beki 3 ......seriously.... pia hii inaonekana kama story ya kutunga mara useme ume mbembeleza mda mrefu mara useme ametoka tanga wiki tu .... huoni kama unatupanga we mke wa 3 mtarajiwa? Punguza wivu
Nikukumbushe tu uwahi kuileta ili uzi uchangamkuOya nimekula kimasihara jana huku Rwanda kwenye msafara wa Yanga masihala tamu ntaileta
Tuletee mkuuOya nimekula kimasihara jana huku Rwanda kwenye msafara wa Yanga masihala tamu ntaileta
Duh watu wana moyoUna moyo mtu ujamjua una mnyonya
We umechomozea wapi? Mbona humu MMU hatukufahamu?Dogo usidhani Kila mtu poyoyo
Wala hufurahishi
Kwanini mkuuKulingana na ID yako basi nilitegemea thread yako lazima iwe hivyo
Wewe ndio class monitor wa mmu?We umechomozea wapi? Mbona humu MMU hatukufahamu?
Pole sana kwa kufufuka mithili ya Lazaro
[emoji23][emoji23][emoji23]Unachekesha sana mkuu. Itoshe tu kukupa neno pole. Rudi kwenye jukwaa lako pendwa. Huku hatukujuiWewe ndio class monitor wa mmu?
Anyways Sifahamiki na mapoyoyo you are very right
Nji ina vijana wa hovyo sana hii
Nji ina vijana wa hovyo sana hii
Mwanaume anayezini na mke wa mtu hana akili kabisa.Aisee hawa wanawake sio poa kabisa yaani demu wa jamaa ambae yuko vizuri finarcially nimeweza kumchapia mke wake japo mwana mie ni rafiki yangu damu damu aisee kutokana na ujinga...