Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Wew jitie kihere here siku dada anafukuzwa hapo na wewe utajua hujui ..... niseme tu ukweli sisi wanaume tunatofautiana sana kwanzia mtazamo mpaka tabia ...... hvi ntanzaje kukaa kwa dada yangu alafu bado niwe na ujasiri wa kumendea beki 3 ......seriously.... pia hii inaonekana kama story ya kutunga mara useme ume mbembeleza mda mrefu mara useme ametoka tanga wiki tu .... huoni kama unatupanga we mke wa 3 mtarajiwa? Punguza wivu
Halafu mwamba anasema amemzidi umri shem wake[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Enyi Wanawake! Tuwafiche wapi jamani?

Baada ya kutoroka kazini asubuhi hii ya leo kwa kosa la kukutwa namtomasa mke wa boss, nimeamua kufikia somewhere karibu na Guest Bubu moja ili kusogeza muda

Saa tatu hivi asubuhi, walipita wanandoa wawili waliochoka kuchakatiana kwenye kitanda chao halali kisha kudumbukia ndani ya gest ile wakiongozana mithili ya siafu wanaotaka kupasuka mioyo

Basi bhana, nimekaa pale asikwambie mtu mpaka mida ya saa 9 kasoro! Jamaa amekuwa wa kwanza kuikimbia mbususu. Robo saa baadae mwanamke ametokeza kutoka ndani ya shimo lile la mzagamuano. Nikaona wacha niunge naye. Nikasogea barabarani mithili ya mtu ambaye hana taarifa ya uchakatwaji i.e kama mpita njia vile, nikaamua kumrushia nyavu, baada ya kama robo saa hivi, mtoto kanasa na makontakti kayarusha na tabasamu juu

Wanawake hata wapewe nini ni ngumu kuridhika

Binafsi siwezi kutongoza demu nikiwa natoka lodge kuelekea somewhere. Au kumtongoza mwanamke masaa 12 baada ya mnyanduano

Enyi wanawake tuwaelewe vipi?
 
Wewe ndio class monitor wa mmu?

Anyways Sifahamiki na mapoyoyo you are very right
[emoji23][emoji23][emoji23]Unachekesha sana mkuu. Itoshe tu kukupa neno pole. Rudi kwenye jukwaa lako pendwa. Huku hatukujui

Au ndugu zanguni nasema uongo?

Sasa kama hutaki story za kimasihara, unataka tuhubiri uparoko au?
 
Aisee hawa wanawake sio poa kabisa yaani demu wa jamaa ambae yuko vizuri finarcially nimeweza kumchapia mke wake japo mwana mie ni rafiki yangu damu damu aisee kutokana na ujinga wa mke wake mie nimemchapa kutokana na kujirahisisha kwake

Yaani iko hivi mke wangu na mke wa huyu jamaa ni marafiki toomuch sasa mke wangu akikaa na mke wa huyu jamaa anaanza kunissifia mie jinsi ninavyompiga mashine bab kubwa sasa mke wa huyu jamaa akataka ajaribu kama kweli aisee nilimtandika kinoma noma mpaka akatamani mimi nimuoe aiseee ila mimi nimekataa

Sasa hapa nipo nyumbani nipo na mke wangu nimechili amenitumia meseji kwamba amenimisi niende nikampige mjegeje na mume wake amesafiri yupo mikoa ya kusini kwenye ziara ya huyo mkubwa wa nchi.

Je wadau niende? Na mke wangu nimmwambiaje?
 
Aisee hawa wanawake sio poa kabisa yaani demu wa jamaa ambae yuko vizuri finarcially nimeweza kumchapia mke wake japo mwana mie ni rafiki yangu damu damu aisee kutokana na ujinga...
Mwanaume anayezini na mke wa mtu hana akili kabisa.

Wewe ni adui namba mmoja wa rafiki yako, and God will expose you soon kama ulimfanyia kweli rafiki yako au umeandika chai.

Unamsalitije rafiki yako?
 
Back
Top Bottom