Enyi Wanawake! Tuwafiche wapi jamani?
Baada ya kutoroka kazini asubuhi hii ya leo kwa kosa la kukutwa namtomasa mke wa boss, nimeamua kufikia somewhere karibu na Guest Bubu moja ili kusogeza muda
Saa tatu hivi asubuhi, walipita wanandoa wawili waliochoka kuchakatiana kwenye kitanda chao halali kisha kudumbukia ndani ya gest ile wakiongozana mithili ya siafu wanaotaka kupasuka mioyo
Basi bhana, nimekaa pale asikwambie mtu mpaka mida ya saa 9 kasoro! Jamaa amekuwa wa kwanza kuikimbia mbususu. Robo saa baadae mwanamke ametokeza kutoka ndani ya shimo lile la mzagamuano. Nikaona wacha niunge naye. Nikasogea barabarani mithili ya mtu ambaye hana taarifa ya uchakatwaji i.e kama mpita njia vile, nikaamua kumrushia nyavu, baada ya kama robo saa hivi, mtoto kanasa na makontakti kayarusha na tabasamu juu
Wanawake hata wapewe nini ni ngumu kuridhika
Binafsi siwezi kutongoza demu nikiwa natoka lodge kuelekea somewhere. Au kumtongoza mwanamke masaa 12 baada ya mnyanduano
Enyi wanawake tuwaelewe vipi?